MAJANGA NIACHE
Member
- Feb 21, 2012
- 93
- 5
Wana JF naomba kujuzwa kuhusu Graduate Recruitment Program ya Mgodi wa Geita kama wamekwisha toa shortlist. Kama bado wakisha wezesha hilo kwa wale wenye taarifa naomba tusaidiane katika kufahamishana.
Natanguliza Shukrani.
Natanguliza Shukrani.