Shomari
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,112
- 241
Nimekuta post kwenye Michuzi blog kwamba Meya wa Ilala Jerry Slaa a.k.a ''Dogo Janja'' kwamba amekabidhiwa Uraia wa heshima wa jiji la bozeman, Montana, Marekani. Nimeshindwa kuelewa hii ina maana gani!!:disapointed:.. ina maana ana Urai wa nchi mbili..au sio Mtanzania kabisa tunaongozwa na mmarekani? na hiyo Heshima amepewa kwa kufanya jambo gani?
Bonyeza hapa
Najua kuna wale wengine mtakulupuka, ila mimi natumia haki yangu ya msingi.
Bonyeza hapa
Najua kuna wale wengine mtakulupuka, ila mimi natumia haki yangu ya msingi.