Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,117
- 49,475
sijajua unapangaje? hebu nielekeze unauza kwa kipimo gani na bei gani?Gengeni unaweka vizuri tu,unahitaji kiasai gani ili tuongee bei vizuri
sijajua unapangaje? hebu nielekeze unauza kwa kipimo gani na bei gani?Gengeni unaweka vizuri tu,unahitaji kiasai gani ili tuongee bei vizuri
Nahitaji Wateja wa ndani na nje niwauzie pilipili hoho,nina mzigo wa kutosha,kila wiki,na kila mwezi kwa muda wa mwaka Mzima kuanzia mwezi huu wa kwanza mpaka mwezi wa kwanza tena 2017.
Kwa yeyote anayejua au anataarifa soko lilipo naomba anisaidie kunipa taarifa mapema sana.
Mimi Niko mbeya.
Nahitaji Wateja wa ndani na nje niwauzie pilipili hoho,nina mzigo wa kutosha,kila wiki,na kila mwezi kwa muda wa mwaka Mzima kuanzia mwezi huu wa kwanza mpaka mwezi wa kwanza tena 2017.
Kwa yeyote anayejua au anataarifa soko lilipo naomba anisaidie kunipa taarifa mapema sana.
Mimi Niko mbeya.
Iyo mbegu ya holland F1 ni bei gan na sifa zake ni zipi. Kama nahitaji mbegu 25000 itanicost bei gani kuzinunua?ni kweli ukipata vigin land utapata mavuno makubwa....nunua mbegu aina ya holland na F1...matunzo ni kupalilia kila uonapo majani..mwagilia kila baada ya siku tatu...weka mbolea kila baada ya siku 30
Mkuu umetumia aina gani ya mbegu for yellow cupscum?View attachment 317897 View attachment 317897 View attachment 317898 hoho zipo sokoni arusha, kwa anayeitaji anipm
Nipo mwanza ninaplan kupanda zaidi ya miche 15000 ya hoo. Nimejaribu on a small scale nimeona zinakubali na zinapenda arth bikira. Naombeni kwa nyie ambao mnaexperience mnisaidie ushauri kidogo interms of mbegu, na matunzo.