Mwenye taarifa ya soko la Hoho

Nahitaji Wateja wa ndani na nje niwauzie pilipili hoho,nina mzigo wa kutosha,kila wiki,na kila mwezi kwa muda wa mwaka Mzima kuanzia mwezi huu wa kwanza mpaka mwezi wa kwanza tena 2017.

Kwa yeyote anayejua au anataarifa soko lilipo naomba anisaidie kunipa taarifa mapema sana.
Mimi Niko mbeya.
 
1453135507006.jpg
Nahitaji Wateja wa ndani na nje niwauzie pilipili hoho,nina mzigo wa kutosha,kila wiki,na kila mwezi kwa muda wa mwaka Mzima kuanzia mwezi huu wa kwanza mpaka mwezi wa kwanza tena 2017.

Kwa yeyote anayejua au anataarifa soko lilipo naomba anisaidie kunipa taarifa mapema sana.
Mimi Niko mbeya.
 
Nipo mwanza ninaplan kupanda zaidi ya miche 15000 ya hoo. Nimejaribu on a small scale nimeona zinakubali na zinapenda arth bikira. Naombeni kwa nyie ambao mnaexperience mnisaidie ushauri kidogo interms of mbegu, na matunzo.
 
ni kweli ukipata vigin land utapata mavuno makubwa....nunua mbegu aina ya holland na F1...matunzo ni kupalilia kila uonapo majani..mwagilia kila baada ya siku tatu...weka mbolea kila baada ya siku 30
 
ni kweli ukipata vigin land utapata mavuno makubwa....nunua mbegu aina ya holland na F1...matunzo ni kupalilia kila uonapo majani..mwagilia kila baada ya siku tatu...weka mbolea kila baada ya siku 30
Iyo mbegu ya holland F1 ni bei gan na sifa zake ni zipi. Kama nahitaji mbegu 25000 itanicost bei gani kuzinunua?
 
Back
Top Bottom