wakuu naomba kuuliza aliye na taarifa ya majina ya sensa kata hizo ambazo 2lishafanya usail alh 2julishane wakuu isije ika2pita man nilisikia tetesi kuwa watatoa leo.Msaada kwa hilo plz.
Mkuu samahani mimi ndiyo natarajia kwenda kwenye usaili,naomba A-Z juu ya usaili
Hakuna lolote lenye utaulizwa, ni just kuhakiki vyeti orijino tu...
Bhaaaaaasi!