Dadio
JF-Expert Member
- Mar 14, 2012
- 359
- 42
Habari wana JF, naomba kujua kwa anayejua ni lini wataita watu kazini maana muda umepita tokea may mpaka Leo wapo kimya. Zaidi wametoa kazi nyingine za mahakimu 300 ukimya wao unaweza fanya watu kua apply mara mbili.
Pia inabidi wahusika wawe makini sana kwa kuchelewa kutoa majibu hali wakijua kuwapata watu wenye vigezo walivyoitaji kwa mahakimu si rahisi sana.
Wengine wanaweza kughairi na kuomba nafasi nyingine kama zile za AGC NA CMA.
Mwenye taarifa tafadhali.
Pia inabidi wahusika wawe makini sana kwa kuchelewa kutoa majibu hali wakijua kuwapata watu wenye vigezo walivyoitaji kwa mahakimu si rahisi sana.
Wengine wanaweza kughairi na kuomba nafasi nyingine kama zile za AGC NA CMA.
Mwenye taarifa tafadhali.