Bado sana sana, mpaka mwezi wa pili makamanda
Shortlist ndio inaandaliwa majina yatatoka baada ya sikukuu kupita means january
Shortlist ndio inaandaliwa majina yatatoka baada ya sikukuu kupita means january
duh kweli kazi ipo!
Habari za leo wanaukumbi wa Jamii forum.Natumia fursa hii kuuliza kama kuna wadau wenye taarifa kuhusu nafasi za kazi tulizoomba PCCB.Tafadhali naomba tufunguke wadau.
taarifa ni kwamba interview itakuwa mwezi wa pili na watakao kuwa considered zaidi ni wale waliopita j.k.t na pia kuna internal workers waliojiendeleza wananafasi zao pale...ila tungoje tuone
taarifa ni kwamba interview itakuwa mwezi wa pili na watakao kuwa considered zaidi ni wale waliopita j.k.t na pia kuna internal workers waliojiendeleza wananafasi zao pale...ila tungoje tuone