mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,124
- 1,744
Habari za wakati wadau,kuna nafasi zilitangazwa na DTB-DIAMOND TRUST BANK ilikuwa mwezi wa pili mwanzoni,Branch manager,clerical officer na bank teller,kwa matawi ya mwanza,tanga,kigoma,arusha na dar,vipi kuna watu waliobahatika kuitwa kwenye interview au kuna taarifa gani kuhusu ukimya wao,msaada please...?