Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
upweke?kumbe kutongoza kazi eti madam b.
lakini ukimtuliza huku unampa kutakuwa hamna shaka.
upweke?kumbe kutongoza kazi eti madam b.
Nitafute,ila ukubali kuwa mume Bwegge.
hiyo avatar yako inawakilisha visa vyako kila nikiiona nashidwa kuizoea,usijesema nakutokea lakini.Wala sio kazi,
Kazi ni kwa Madomo zege.
Ila kwa Barubaru kama nyie ni kama Kumsukuma mlevi.
ngoja wakusikie kina njomba nchumali watakuchoma nchale.Inategemea ntu na ntu.
ngoja wakusikie kina njomba nchumali watakuchoma nchale.
Objectioooooooooooooooooooooooooooooooonnnnnnnnnnnnnnnn
hiyo avatar yako inawakilisha visa vyako kila nikiiona nashidwa kuizoea,usijesema nakutokea lakini.
Madame B kazi unayoshosti mwanaume ana wivu balaa, au kahisi mie twigastars?mtoe hofu mie mwanamke wa shoka ati!!
Yani shosti acha tu,
Mwanaume huyu ana wivu mpaka kwenye kivuli changu.
Yaani ameninunulia Niqabu eti wanaume wa Nje wasiweze kuniona.
Yani ni gubu juu ya gubu.
Kama mapenzi yenyewe ndo haya,
Ntatangaza nafasi za kazi sasa hivi.
Ndo hayo shosti.
hilo neno nikaitoe halijakaa vizuri.Ngoja nikaitoe.