Mwenye nia afanye hivi..

Tugutuke

JF-Expert Member
Apr 21, 2011
501
165
Bila kupoteza muda ku type, naomba niwe rafiki yako hasa mtoto wa kike,maana wa Kiume nimewazoea sana,siku zote wana habari za kwenda bar tu. So,natamani marafiki wa kuchat nao kwenye Facebook,twitter,the grid,and Jf. Hata via 4n no. Kama uko serious ni Pm afu tupeane contacts. Thanx
 
haya watakutafuta. but si takuwa nao wengi? utawezaje kuchat na marafiki wote wa fb, twitter na jf? unazodola nyingi wewe. au za munyama?
 
haya watakutafuta. but si takuwa nao wengi? utawezaje kuchat na marafiki wote wa fb, twitter na jf? unazodola nyingi wewe. au za munyama?

nina simu mbili na laptop moja,so simu moja Facebook,nyingine twitter,na laptop ina deal na The Grid na jf
 
nina simu mbili na laptop moja,so simu moja Facebook,nyingine twitter,na laptop ina deal na The Grid na jf
Umegundua njia ya kupata income wakati wa kuchat nini..? au ni multi-task unaweza kufanya mengi kwa wakati mmoja au unafanya kazi ya security hivyo inabidi ukae macho na chatting inapitisha muda kuliko kukaa tu..

Anyway sasa si inabidi muwe na same interests za kuongea au upo kwenye kila fani na unaweza kuongea chochote
 
Bila kupoteza muda ku type, naomba niwe rafiki yako hasa mtoto wa kike,maana wa Kiume nimewazoea sana,siku zote wana habari za kwenda bar tu. So,natamani marafiki wa kuchat nao kwenye Facebook,twitter,the grid,and Jf. Hata via 4n no. Kama uko serious ni Pm afu tupeane contacts. Thanx

dogo nahisi sasa umeuchoka u-anaume unaamie-KIKENI....

hapo nilipo-bold panaashiria sasa unataka mazoea na watoto wa kike ile waanze kukupeleka saluni wakupake wanja na uanze kuvaa bikini zao na kisha uanze kugongwa na mabwana zao then mgombee mabwana mara usutwe mara uchezwe kama mwali...kisha uwe mtoto si-rizki..

ONYO
..
next time tafuta maneno au tafakari maneno yako kabla hujayaweka hadharani..tutakuhukumu kwa kutumia ushahidi wa picha kama huu niliotumia.
 
Ni ukosefu wa ajira ndo unafanya wa2 mchat ovyo namna hii au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom