Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Bila kupoteza muda ku type, naomba niwe rafiki yako hasa mtoto wa kike,maana wa Kiume nimewazoea sana,siku zote wana habari za kwenda bar tu. So,natamani marafiki wa kuchat nao kwenye Facebook,twitter,the grid,and Jf. Hata via 4n no. Kama uko serious ni Pm afu tupeane contacts. Thanx