Mwan mpambanaji
JF-Expert Member
- Apr 3, 2008
- 482
- 131
Naomba mwenye contact za huyu mh tumjuze kuhusu hili la barabara kufungwa ili kupisha ujenzi,barabara hii inaenda maeneo nyeti,kama hospital ya soweto,na hupunguza foleni sana,kufungwa haikubaliki.