Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Jana nilisikia habari zilizonisikitisha sana kuhusu mwimbaji anayenivutia sana katika kazi zake Mwalimu wa Walimu Banza
Stone kwamba alikiri katika radio hiyo amekata tamaa ya maisha na sasa anatunga nyimbo ambazo ikitokea akifa basi
zitabaki kumbukumbu ya sisi mashabiki wake.
Kwakweli nilisikitishwa sana,ninahitaji kuonana na huyu msanii niongee naye kuweza kumpa matumaini mapya.
Stone kwamba alikiri katika radio hiyo amekata tamaa ya maisha na sasa anatunga nyimbo ambazo ikitokea akifa basi
zitabaki kumbukumbu ya sisi mashabiki wake.
Kwakweli nilisikitishwa sana,ninahitaji kuonana na huyu msanii niongee naye kuweza kumpa matumaini mapya.