ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Kuendelea na Shule ni akili ya mtoto mwenyewe...kuna ndugu yangu alijifungua two weeks baada ya kumaliza mitihani ya darasa la Saba at the age of 13, lakini alifaulu akaendelea na sekondari akamaliza chuo now ni mwalimu wa sekondari Mtwara kaajiriwa mwaka huu mwanzoni
huyo hata akikuambia ni bahati mbaya unamuelewa kabisaa kwa jitihada hizo...