pstar01884
Senior Member
- Sep 26, 2010
- 117
- 47
Mimi ni mjasiriamali, naendesha biashara zangu ktk eneo la Kariakoo Dar es salaam. Katika biashara yangu nimejikita zaidi kwenye kuuza/supply bidhaa za Stationery na Printing. Nimejikita kwnye biashara hii tangia mwaka 2009 hivyo nimeweza kudunduliza mtaji wangu kwa kiwango cha kutosha na hivyo nimeamua kuingia rasmi kwenye Wholesale. Changamoto kubwa niliyo nayo kwa sasa ni kukosekana kwa link/mawasiliano na suppliers wakubwa wa bidhaa hizi, hivyo nimejikuta bado nanunua bidhaa zangu kwa watu wa kati (middlemen) ambapo bei zao bado ni ghali, haziniruhusu kuuza kwa watu wa kati (middlemen) najikuta narudi kwny rejareja ili kuweza kupata faida kiduchu.
Naamini Jf imejazana watu wenye biashara mbalimbali, wenye access na wafanyabiashara wakubwa ktk eneo hili ambao wanaweza kuwa suppliers wangu. Naomba yeyote mwenye link na importers wa makaratasi particularly karatasi za photocopy papers(A4,A3), artpapers(A1), manila, bond papers, NCR Papers (A1) anisaidie.
Pia bidhaa nyinginezo za wino wa printer za maofisi, printing ink za TOK machines, nk,
mawasiliano yangu ni haya hapa;
+255 713 584 890
Email: pstaronline@gmail.com au bst.printers@yahoo.com
Naamini Jf imejazana watu wenye biashara mbalimbali, wenye access na wafanyabiashara wakubwa ktk eneo hili ambao wanaweza kuwa suppliers wangu. Naomba yeyote mwenye link na importers wa makaratasi particularly karatasi za photocopy papers(A4,A3), artpapers(A1), manila, bond papers, NCR Papers (A1) anisaidie.
Pia bidhaa nyinginezo za wino wa printer za maofisi, printing ink za TOK machines, nk,
mawasiliano yangu ni haya hapa;
+255 713 584 890
Email: pstaronline@gmail.com au bst.printers@yahoo.com