Bokohalamu
Member
- Mar 13, 2012
- 94
- 8
Nimekua na tatizo la kupatwa na fungas eneo la mabega na mpaka maeneo ya kiuno,mgongoni inachukua sehemu kubwa ila mbele ni kidogo,sometimes zinaweka mabaka meusi bt nimetumia dawa sana bila mafanikio!kwa sasa nimetoka kutumia doz ya vidonge 7 aina ya (terbifin-250) na ya kupaka (dexaquin),zinafifia ila hazijaisha!sasa najiuliza sijui niongeze doze ama nitajiover.Tatizo hili ni la muda mref kama miaka 15 hiv ila cha kushangaza nikienda kuishi kwenye maeneo ya barid nikatumia dawa zinapotea kabisa ila nikitua tu dar mpango ulele.Nimehisi labda nina aleji ila sijapima,pia nilifikiria kusafisha damu ila nahofia zile mashine hazina side-effect kwel!
Hili tatizo nililipata maeneo ya Moro nikiwa o-level nikawa nahisi ni maj yake yana madin ya ulanga ndio sababu bt nilipo hama hali ikaendelea.
Hili tatizo nililipata maeneo ya Moro nikiwa o-level nikawa nahisi ni maj yake yana madin ya ulanga ndio sababu bt nilipo hama hali ikaendelea.