Mwenye CV ya mrembo Jackie Cliff


Ndio Jestina, Jamaa yuko mahabusu sasa hivi (labda kama kahonga katolewa sasa hivi) lakini mpaka nalala Jana alikua anashikiliwa na polisi kwa kosa la kujihusisha na madawa ya kulevya, amekua akitajwa muda mrefu kama mtu anayesafirisha mihadarati na kujihusisha na mtandao wa madawa ya kulevya, ndio maana yeye na mke wake huwa wanatumia pesa hovyo, si unajua drug dealers hawaumizi kichwa kuhusu matumizi? pesa haramu nyepesi sana

alinaswa nyumbani kwake na alikua kajificha juu ya dari ya nyumba, polisi wakamchoropoa hukohuko, uchunguzi wa awali unaonyesha mke wake anajua A to Z juu ya biashara ya mumewe, alijitahidi hata kuficha ukweli pale polisi walipowavamia nyumbani kwao, kisheria huyu naye ni mhalifu

lol kuna watu Wanabusara, huyu aliyetoa post kama alijuaaa
 
Heaven on Earth jack anaringa jamani,mashauzi ptuuu utafikiri hanyi.
Huwa tunaonana mara kwa mara saloon kwa jack manyanya yaaaani aiyayayaya.Mwanamke mashauzi sasa ataiona jun july.
Alipokuwa na bint kiziwi mpaka akakamatwa akamkimbia akafikiri amewin kumbe wenzake wanammemndea.
Ila ubongo wa kondoo ubongo wa kondoo tu huyu alikuwa na bint kiziwi wote mpaka mwenzie akashikwa wapo pamoja bado akarudi kulekule na mzigo?kisa aende eatv sijui clouds kusema kuwa: i live a very expensive life,my gown from zarra usd 1800,this is diamond ring i bought it in germany.............bla bla kibao.
Atasugua gaga uchinani.
 
Last edited by a moderator:
Heaven on Earth jack anaringa jamani,mashauzi ptuuu utafikiri hanyi.
Huwa tunaonana mara kwa mara saloon kwa jack manyanya yaaaani aiyayayaya.Mwanamke mashauzi sasa ataiona jun july.
Alipokuwa na bint kiziwi mpaka akakamatwa akamkimbia akafikiri amewin kumbe wenzake wanammemndea.
Ila ubongo wa kondoo ubongo wa kondoo tu huyu alikuwa na bint kiziwi wote mpaka mwenzie akashikwa wapo pamoja bado akarudi kulekule na mzigo?kisa aende eatv sijui clouds kusema kuwa: i live a very expensive life,my gown from zarra usd 1800,this is diamond ring i bought it in germany.............bla bla kibao.
Atasugua gaga uchinani.

umenifurahishaaaa ahahhahahhaahhahaah
 
Last edited by a moderator:
Heaven on Earth jack anaringa jamani,mashauzi ptuuu utafikiri hanyi.
Huwa tunaonana mara kwa mara saloon kwa jack manyanya yaaaani aiyayayaya.Mwanamke mashauzi sasa ataiona jun july.
Alipokuwa na bint kiziwi mpaka akakamatwa akamkimbia akafikiri amewin kumbe wenzake wanammemndea.
Ila ubongo wa kondoo ubongo wa kondoo tu huyu alikuwa na bint kiziwi wote mpaka mwenzie akashikwa wapo pamoja bado akarudi kulekule na mzigo?kisa aende eatv sijui clouds kusema kuwa: i live a very expensive life,my gown from zarra usd 1800,this is diamond ring i bought it in germany.............bla bla kibao.
Atasugua gaga uchinani.

hahahaaa mie namuonaga tu huko Insta akitupiamo ma pic nampendaje
najisemea huyu mdada anavaa classy acha tu kumbe nae punda tu sa jana ndio nimepata
hizi habari na aliaga anaenda Iringa kumbe ana yake majambo...na pale alivaa malapa hakuna
cha CL wala Louis Vuitton...

Hiyo ya EATV niliona eti ana clear closet yake every year nikajiuliza sa hela anapata wapi hata kama
ni muhongaji basi anajua kuhonga maaana huo mda alikuwa keshaachana na Fundikira kumbe anachokifanya
ni wale wale kasoro majina........
 
Heaven on Earth jack anaringa jamani,mashauzi ptuuu utafikiri hanyi.
Huwa tunaonana mara kwa mara saloon kwa jack manyanya yaaaani aiyayayaya.Mwanamke mashauzi sasa ataiona jun july.
Alipokuwa na bint kiziwi mpaka akakamatwa akamkimbia akafikiri amewin kumbe wenzake wanammemndea.
Ila ubongo wa kondoo ubongo wa kondoo tu huyu alikuwa na bint kiziwi wote mpaka mwenzie akashikwa wapo pamoja bado akarudi kulekule na mzigo?kisa aende eatv sijui clouds kusema kuwa: i live a very expensive life,my gown from zarra usd 1800,this is diamond ring i bought it in germany.............bla bla kibao.
Atasugua gaga uchinani.
Natamanije afungwe ili iwe fundisho sema anaweza kutolewa kama masogange.Halafu sasa wakiachiwa wanarudi na mashauzi zaidi ya yale ya mwanzo sasa.Hii serikali yetu bana.Tokea masogange aachiwe huru sina imani kabisa kama huu atafungwa,atatolewe tu,subirini mtaona.
 
  • Thanks
Reactions: DSN
kwenye kuvaa i salute her anavaaa jamani ila ndo ivo
hahahaaa mie namuonaga tu huko Insta akitupiamo ma pic nampendaje
najisemea huyu mdada anavaa classy acha tu kumbe nae punda tu sa jana ndio nimepata
hizi habari na aliaga anaenda Iringa kumbe ana yake majambo...na pale alivaa malapa hakuna
cha CL wala Louis Vuitton...

Hiyo ya EATV niliona eti ana clear closet yake every year nikajiuliza sa hela anapata wapi hata kama
ni muhongaji basi anajua kuhonga maaana huo mda alikuwa keshaachana na Fundikira kumbe anachokifanya
ni wale wale kasoro majina........
afu nimegundua warembo wote wanaoenda guanzghou sijui thailand kazi ni moja tu.
Mapunda kasoro mkia.
 
Heaven on Earth jack anaringa jamani,mashauzi ptuuu utafikiri hanyi.
Huwa tunaonana mara kwa mara saloon kwa jack manyanya yaaaani aiyayayaya.Mwanamke mashauzi sasa ataiona jun july.
Alipokuwa na bint kiziwi mpaka akakamatwa akamkimbia akafikiri amewin kumbe wenzake wanammemndea.
Ila ubongo wa kondoo ubongo wa kondoo tu huyu alikuwa na bint kiziwi wote mpaka mwenzie akashikwa wapo pamoja bado akarudi kulekule na mzigo?kisa aende eatv sijui clouds kusema kuwa: i live a very expensive life,my gown from zarra usd 1800,this is diamond ring i bought it in germany.............bla bla kibao.
Atasugua gaga uchinani.
Hahahaaa...sasa yamemkuta.... nature is always absolute...
 
jana nilikuwa naangalia kipindi cha chartroom katika clouds tv nikakuta huyo mrembo anajisifu kwamba anapesa embu mwenye cvs yake atujuze huyo mrembo alipotokea


Baraka Boki (MEng,MBA from Duke University)
Kweli wewe ni Kionambali... I admit..
 
Natamanije afungwe ili iwe fundisho sema anaweza kutolewa kama masogange.Halafu sasa wakiachiwa wanarudi na mashauzi zaidi ya yale ya mwanzo sasa.Hii serikali yetu bana.Tokea masogange aachiwe huru sina imani kabisa kama huu atafungwa,atatolewe tu,subirini mtaona.

nini!! Aachiwe!! Sio China aisee! Kule alichomoka Riz tuu.
 
jamani ana uzee gani kijana yule,wanaweza kuwa nazo si wauza unga maarufu mjini

Mkuu we ni nouma, hii post uliipost mwezi June 2012, na leo hii tunasikia uyu mrembo kadakwa duhhhh, we ni noumaaaaaaaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom