MissM4C
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,738
- 995
Ndio Jestina, Jamaa yuko mahabusu sasa hivi (labda kama kahonga katolewa sasa hivi) lakini mpaka nalala Jana alikua anashikiliwa na polisi kwa kosa la kujihusisha na madawa ya kulevya, amekua akitajwa muda mrefu kama mtu anayesafirisha mihadarati na kujihusisha na mtandao wa madawa ya kulevya, ndio maana yeye na mke wake huwa wanatumia pesa hovyo, si unajua drug dealers hawaumizi kichwa kuhusu matumizi? pesa haramu nyepesi sana
alinaswa nyumbani kwake na alikua kajificha juu ya dari ya nyumba, polisi wakamchoropoa hukohuko, uchunguzi wa awali unaonyesha mke wake anajua A to Z juu ya biashara ya mumewe, alijitahidi hata kuficha ukweli pale polisi walipowavamia nyumbani kwao, kisheria huyu naye ni mhalifu
lol kuna watu Wanabusara, huyu aliyetoa post kama alijuaaa