Philipo Kidwanga
JF-Expert Member
- Jul 12, 2012
- 2,042
- 599
na hapa ndipo ninaposhindwa kuihusisha dini na mungu,maana mungu hana vitu vya kichina mungu ni mnyoofu.twapasa kuifahamu na kuielewa kiundani maana ya dini kwa mustakabali wa dunia yetu.vipi kitu kihusianacho na mungu kianze kutaka kuiharibu dunia,nitatoa mifano[1]wengine wanakaa wanatoa picha za kuwadhalilisha viongozi wa dini za wenzao.[2]wengine wanawatuma watoto wadogo wakafanye vitu vya kijinga kuudhi na kudhalilisha imani za wengine[3]wengi wanajifanya wana imani na nguvu mpaka kufikiri ni ambazo zinaweza kumsaisdia mungu kupambana[4]wangine wanashindwa kutofautisha kosa la mtu mmoja na kosa la jamii hivyo kutafuta sababu za kijinga za kushambulia nyumba za ibada za wengine.kwa kuorodhesha ni mengi sana mkuu mzizi lakini tusipoangalia dini hizi zitaisambaratisha dunia.my take haupo uhusiano wa dini na mungu ila kuna uhusiano wa binadamu na dini ambapo huamini kwamba kupitia dini wapo karibu na muumba wao.Mkuu philipo kidwanga hivyo vyotekatka sheria ya dini Haviruhusiwe tumejitungia sisi wenyewe tu ni vitu vya kizushi tu.