paul vicent
Member
- Jul 13, 2012
- 44
- 4
Leo nipo wilayani kilosa mkoa wa morogoro katika kijiji cha ruaha. Nimeshudia mbio za mwenge zikipita na msafara wa magari yasopungua therathini du!
Nilishtuka kidogo kuona kitu kinachowezeka hata kwa magari kumi tu au matano kuchukua bajeti kubwa ya mafuta na huduma za wakimbizaji.
Huku tanzania bado ikilia kuwa maskini.nikaona hapa kuna tatizo la wataaramu wa uchumi au viongozi wanatumia kubashili mwisho ndio wanangalia mahesabu.
Nilishtuka kidogo kuona kitu kinachowezeka hata kwa magari kumi tu au matano kuchukua bajeti kubwa ya mafuta na huduma za wakimbizaji.
Huku tanzania bado ikilia kuwa maskini.nikaona hapa kuna tatizo la wataaramu wa uchumi au viongozi wanatumia kubashili mwisho ndio wanangalia mahesabu.