kussy
JF-Expert Member
- Jun 15, 2010
- 400
- 121
Tangu lini CHADEMA wamesema hivyo ? Mbona CUF wasema watapiga kambi ARUSHA ? kama VILE hakuna Vyama Vingine ? Isipokuwa CUF na CUF pekee, na wakapokelewa na MKUU wa POLISI wa MKOA, MKUU wa MKOA Viongozi Waandamizi wa Mkoa Sasa hapo hauoni ya kuwa ni furaha na faraja kwa CUF kupendwa na CHAMA TAWALA ? Haukuona MKUTANO wa CUF ulifanana kama wa CCM ? Ulikuwa na MALORI na MABASI ya kubebaWananchi; Wananchi walikuwa Wamevaa Sare za CUF za kupendeza haswa kama wa CCM; Walisimika Mwanachama MMOJA tu kuingia CUF... na MAPOLISI HAWAKUWEPO KAMA VILE MKUTANO ULIKUWA WA CCM...
Kaka aliyepokelewa ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, hivyo polisi na viongozi wa serikali walikuwa lazima wahusike