Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
- Thread starter
- #101
Mh sijui anazipataga wapi aisee lolAmina. Sasa ngoja nikatende lile dhambi ninalo shindwa kuresist. Si watalihamisha kwa yule mod mbaya (hata simjui mimi).
Bora umeimiss, ilikua ni migongo ya watu walokatwa na mapanga, unaona hadi ndani. tena watu wenyewe weupe so it looks like in a haram butchery, if you know what I mean...
Ila zile nyingine za vituko huwa nazifurahia sana aisee lol