Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,125
TATIZO la kutozingatia usalama kwa waendesha pikipiki nchini linazidi kuongezeka kutokana na ajali za kila mara ambapo katika tukio moja wiki hii, mwendesha pikipiki alinusurika kufa katika barabara ya Korogwe eneo la Simba Oil mjini Morogoro kutokana na kukiuka sheria za usalama barabarani.
Kwa mujibu wa mashuhuda, mwendesha pikipiki huyo alikuwa akijaribu kulipita gari lenye namba za usajili T 635 AKM aina ya Toyota Land Cruiser ambapo mbele yake kulikuwa kuna gari dogo lenye namba T 580 AAK lilikokuwa likielekea upande wa pili.
Matokeo yake ni kwamba mwendesha pikipiki huyo alijikuta hawezi kurudi nyuma wala kusonga mbele na hivyo kukwanguliwa na gari hilo lilikokuwa mbele yake na kumtupa chini ambapo alipata majeraha kadhaa kabla ya polisi kufika eneo hilo kuchukua vipimo.
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td class="news1" align="left" width="61%">
</td> <td class="news1" align="right" width="39%">
</td></tr></tbody></table>
Kwa mujibu wa mashuhuda, mwendesha pikipiki huyo alikuwa akijaribu kulipita gari lenye namba za usajili T 635 AKM aina ya Toyota Land Cruiser ambapo mbele yake kulikuwa kuna gari dogo lenye namba T 580 AAK lilikokuwa likielekea upande wa pili.
Matokeo yake ni kwamba mwendesha pikipiki huyo alijikuta hawezi kurudi nyuma wala kusonga mbele na hivyo kukwanguliwa na gari hilo lilikokuwa mbele yake na kumtupa chini ambapo alipata majeraha kadhaa kabla ya polisi kufika eneo hilo kuchukua vipimo.
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Pikipiki iliyohusika katika ajali hiyo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mwendesha pikipiki aliyesababisha ajali.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Kijana aliyepata ajali (kulia aliyeinua mkono) akitoa maelekezo kwa polisi kuhusu ajali ilivyotokea.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Polisi akiondoka na mwenye pikipiki kwa ajili ya kwenda kutoa maelezo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Safari ya kuelekea kituoni ikianza.
Pikipiki iliyohusika katika ajali hiyo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Mwendesha pikipiki aliyesababisha ajali.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Kijana aliyepata ajali (kulia aliyeinua mkono) akitoa maelekezo kwa polisi kuhusu ajali ilivyotokea.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Polisi akiondoka na mwenye pikipiki kwa ajili ya kwenda kutoa maelezo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Safari ya kuelekea kituoni ikianza.
<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" width="100%"><tbody><tr><td class="news1" align="left" width="61%">
</td> <td class="news1" align="right" width="39%">
</td></tr></tbody></table>