Mwendelezo wa kesi ya kupinga ubunge wa Lema - Arusha

ngurati

JF-Expert Member
Feb 14, 2011
221
240
Wadau,

Nipo mahakama kuu ya Arusha kufuatilia kesi ilifunguliwa dhidi ya ushindi wa Godbless Lema.

Polisi walimwagwa mahakamani tangu alfajiri wakiwavua kwenye Maharishi 12 ya polisi. Wamewazuia wananchi mamia kwa mamia waliokuja, Geti limefungwa na mahakamani wameingia watu wanaodaiwa kuwa makachero wananchi wamenyimwa kuingia.

Imetokea vurugu na kutokuelewana baina ya OCD na mbunge Lema. Namuona hapa Lema na Nasari wanagombana na OCD na polisi kwa kuzuia watu kuingia.

Jana jaji aliagiza mahakama kufunga loud speaker nje ya chumba cha mahakama ili watu wote waweze kusikiliza cha ajabu hakuna spika zilizofungwa.

Wananchi waliokuwa ndani nao wameamua kutoka nje wakisema tumwanche OCD na polisi wasikilize kesi. Lema naye ameamua kutoka nje
 
Sasa mkuu huyo mh Lema ivi akitoka nae nje haiwezi kutafsiriwa vibaya na hao mawakala wa mgamba? Kua ameidharau mahakama?
 
Mwita25 afadhali we umeiona kasoro habari nzuri dah lakini inabidi nawewe msomaji uwe makini kuielewa
 
sasa kiliendelea nini baada ya lema na wasikilizaj wachache kutoka nje ya mahakama hiyo? na je jaji alitoa maamuz gan baada ya kupewa info kuwa hamna speakers zozote zilizo fungwa nje ya mahakama hiyo?
 
Wadau,

Nipo mahakama kuu ya Arusha kufuatilia kesi ilifunguliwa dhidi ya ushindi wa Godbless Lema.

Polisi walimwagwa mahakamani tangu alfajiri wakiwavua kwenye Maharishi 12 ya polisi. Wamewazuia wananchi mamia kwa mamia waliokuja, Geti limefungwa na mahakamani wameingia watu wanaodaiwa kuwa makachero wananchi wamenyimwa kuingia.

Imetokea vurugu na kutokuelewana baina ya OCD na mbunge Lema. Namuona hapa Lema na Nasari wanagombana na OCD na polisi kwa kuzuia watu kuingia.

Jana jaji aliagiza mahakama kufunga loud speaker nje ya chumba cha mahakama ili watu wote waweze kusikiliza cha ajabu hakuna spika zilizofungwa.

Wananchi waliokuwa ndani nao wameamua kutoka nje wakisema tumwanche OCD na polisi wasikilize kesi. Lema naye ameamua kutoka nje

hapa pekundu hujaeleweka una maana gani
 
baada ya lisaa limoja ya purukushani na polisi, hatimaye polisi wameamua kufuata matakwa yetu na kukaa pembeni na kutuachia kazi ya kupanga watu, watu ni wengi mno mahakama imefurika mpaka nje ya geti, polisi wamekuwa wapole kama maji ya mtungi. walitaka kutuchukua kutupeleka kituoni kwa nguvu ya umma tuka washinda, sasa wanaomba ulinzi kutoka kwetu, tumwahakikishia hata inzi hata kufa katika viwanja hivi vya mahakama.
 
baada ya lisaa limoja ya purukushani na polisi, hatimaye polisi wameamua kufuata matakwa yetu na kukaa pembeni na kutuachia kazi ya kupanga watu, watu ni wengi mno mahakama imefurika mpaka nje ya geti, polisi wamekuwa wapole kama maji ya mtungi. walitaka kutuchukua kutupeleka kituoni kwa nguvu ya umma tuka washinda, sasa wanaomba ulinzi kutoka kwetu, tumwahakikishia hata inzi hata kufa katika viwanja hivi vya mahakama.

kamanda kilewo tupeni taarifa za kutosha, mbona nimepigiwa simu na mdogo wangu kuwa kunabaathi ya viongozi wa chadema wakiongozwa na mbunge wamepigwa vibaya na polisi? habari hii inaukweli gani? na nnasikia nassari kapelekwa polisi? lema naye hajulikani alipo? baada ya vurugu kutokea?
 
Hatimaye makamanda wa Chadema wamewapanga watu na kazi imekuwa rahisi. Comition ilikuwa kubwa kamanda Nassari akatiwa nguvuni kwa muda na Ocd Ila baadaye OCD amesalimu amri na kuwaachia cdm kupanga watu.

Mamia ya watu wamekaa chini nje ya chumba cha mahakama. Akiyanani lema ni jasiri alikuwa anamwambia OCD we can't live like this, we better die now. Tukiicha hii dhambi tutakuwa tunaibariki na kuwanyima watu haki zao za msingi za kufuatilia kesi ya mbunge wao.

Nassari Nate akamwambia awaondo polisi mahakamani wakalinde watu na Mali zao mitaani sio kuja kujazana mahakamani kuzuia wananchi.

Hali ilikuwa tete na machalii wa arusha ni wabishi sijawahi kuona
 
baada ya lisaa limoja ya purukushani na polisi, hatimaye polisi wameamua kufuata matakwa yetu na kukaa pembeni na kutuachia kazi ya kupanga watu, watu ni wengi mno mahakama imefurika mpaka nje ya geti, polisi wamekuwa wapole kama maji ya mtungi. walitaka kutuchukua kutupeleka kituoni kwa nguvu ya umma tuka washinda, sasa wanaomba ulinzi kutoka kwetu, tumwahakikishia hata inzi hata kufa katika viwanja hivi vya mahakama.

hivi hawa police hawakomii? ngoja tuone watatufikisha wapi, maana kwa Arusha police kwasasa ni kama vile mgambo wananchi wanawachukulia poa sana.
 
Hatimaye makamanda wa Chadema wamewapanga watu na kazi imekuwa rahisi. Comition ilikuwa kubwa kamanda Nassari akatiwa nguvuni kwa muda na Ocd Ila baadaye OCD amesalimu amri na kuwaachia cdm kupanga watu.

Mamia ya watu wamekaa chini nje ya chumba cha mahakama. Akiyanani lema ni jasiri alikuwa anamwambia OCD we can't live like this, we better die now. Tukiicha hii dhambi tutakuwa tunaibariki na kuwanyima watu haki zao za msingi za kufuatilia kesi ya mbunge wao.

Nassari Nate akamwambia awaondo polisi mahakamani wakalinde watu na Mali zao mitaani sio kuja kujazana mahakamani kuzuia wananchi.

Hali ilikuwa tete na machalii wa arusha ni wabishi sijawahi kuona

kamanda shukrani sana kwataarifa, maana tulikuwa tumeambiwa ulipelekwa police na lema alikuwa haonekani.
 
Hatimaye makamanda wa Chadema wamewapanga watu na kazi imekuwa rahisi. Comition ilikuwa kubwa kamanda Nassari akatiwa nguvuni kwa muda na Ocd Ila baadaye OCD amesalimu amri na kuwaachia cdm kupanga watu.

Mamia ya watu wamekaa chini nje ya chumba cha mahakama. Akiyanani lema ni jasiri alikuwa anamwambia OCD we can't live like this, we better die now. Tukiicha hii dhambi tutakuwa tunaibariki na kuwanyima watu haki zao za msingi za kufuatilia kesi ya mbunge wao.

Nassari Nate akamwambia awaondo polisi mahakamani wakalinde watu na Mali zao mitaani sio kuja kujazana mahakamani kuzuia wananchi.

Hali ilikuwa tete na machalii wa arusha ni wabishi sijawahi kuona
people's power can't be defeated
 
people's power can't be defeated

"By any means necessary." lazima vyombo vya dola visikilize umma unataka nini, nasiyo maagizwa ya wakubwa zao, nchi yeyote ile duniani inawatu naserikali haiwezi kuwepo bila watu, wenye mamlaka ya mwisho ni watu. Arusha is our home, ccm sahauni kuhusu hujuma mliyoipanga ya kumtoa Lema na kuwaonyesha kuwa tunaweza huyu huyu jaji hatumkatae endeleeni kumtumia ila ukweli ndiyo utakaoshinda.
 
Hii ndio inatakiwa. Hawa police wetu ni wazuri lakini vilaza CCM wanawachanganya sana. Naomba Mungu hiki chama cha magamba kife kabisa, ili nchi yetu iwe na uongozi bora, sio utawala bora.
 
"By any means necessary." lazima vyombo vya dola visikilize umma unataka nini, nasiyo maagizwa ya wakubwa zao, nchi yeyote ile duniani inawatu naserikali haiwezi kuwepo bila watu, wenye mamlaka ya mwisho ni watu. Arusha is our home, ccm sahauni kuhusu hujuma mliyoipanga ya kumtoa Lema na kuwaonyesha kuwa tunaweza huyu huyu jaji hatumkatae endeleeni kumtumia ila ukweli ndiyo utakaoshinda.
zitto hajambo?
 
Jamani kesi ya nini wakati mbunge wetu tulimchagua wenyewe? hao magamba wanataka nini tena? kweli hii nchi tusipoamua sisi wenyewe hawa wezi wa madaraka watatupeleka wanavyotaka watanzania tuwe macho na tuchukue hatua...ukifa leo kwa kudai haki yako mtoto wako ama mjukuu wako ataishi maisha mema bila kubugudhiwa
 
zitto hajambo?

kamanda nadhani kilewo hayupo dar, sioni sababu ya kumuuliza hizi habari, unaweza ukawauliza waliyopo dar akina regia, mnyika na wengine wengi maana hata yeye nadhani anapokea habari kama wewe. kuna topic inazungumzia ishu ya zitto kwa msaada zaidi
 
Back
Top Bottom