Wadau,
Nipo mahakama kuu ya Arusha kufuatilia kesi ilifunguliwa dhidi ya ushindi wa Godbless Lema.
Polisi walimwagwa mahakamani tangu alfajiri wakiwavua kwenye Maharishi 12 ya polisi. Wamewazuia wananchi mamia kwa mamia waliokuja, Geti limefungwa na mahakamani wameingia watu wanaodaiwa kuwa makachero wananchi wamenyimwa kuingia.
Imetokea vurugu na kutokuelewana baina ya OCD na mbunge Lema. Namuona hapa Lema na Nasari wanagombana na OCD na polisi kwa kuzuia watu kuingia.
Jana jaji aliagiza mahakama kufunga loud speaker nje ya chumba cha mahakama ili watu wote waweze kusikiliza cha ajabu hakuna spika zilizofungwa.
Wananchi waliokuwa ndani nao wameamua kutoka nje wakisema tumwanche OCD na polisi wasikilize kesi. Lema naye ameamua kutoka nje
Nipo mahakama kuu ya Arusha kufuatilia kesi ilifunguliwa dhidi ya ushindi wa Godbless Lema.
Polisi walimwagwa mahakamani tangu alfajiri wakiwavua kwenye Maharishi 12 ya polisi. Wamewazuia wananchi mamia kwa mamia waliokuja, Geti limefungwa na mahakamani wameingia watu wanaodaiwa kuwa makachero wananchi wamenyimwa kuingia.
Imetokea vurugu na kutokuelewana baina ya OCD na mbunge Lema. Namuona hapa Lema na Nasari wanagombana na OCD na polisi kwa kuzuia watu kuingia.
Jana jaji aliagiza mahakama kufunga loud speaker nje ya chumba cha mahakama ili watu wote waweze kusikiliza cha ajabu hakuna spika zilizofungwa.
Wananchi waliokuwa ndani nao wameamua kutoka nje wakisema tumwanche OCD na polisi wasikilize kesi. Lema naye ameamua kutoka nje