Doyi
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 1,427
- 1,475
Wadau wa jF habr zenu.Mimi na wenzangu tuna mgodi wa madini ya rubi maeneo ya MATOMBO morogoro kijiji cha mwalazi.Una ukubwa wa eka 4,lesen tayar tunayo na tunachohtaj ni mtu makini na mwaminifu anayejua mambo ya madin ya rubi.awekeze ela zake na kitachopatkana tugawane kisheria.Hatutak atupatie pesa yake mkonon bali yeye mwenyewe au kwa kutumia wasaidiz wake waje tuwapeleke site ili wajiridhishe.Nazungumza hv kwa kuwa najua mambo ya madin yamejaa sana utapeli kitu ambacho sikipend kwenye maisha yangu.Ninapenda zaid mwekezaj au partner awe foreigner ila pia akiwa mtz syo mbaya mradi uadilifu uwepo.Aliye siriaz ani PM .Karibun