Kingu Victor EL
Member
- Aug 21, 2011
- 26
- 0
Tusker bariiiiidiii nimekuelewa, nadhani nawe umeielewa mada. Maswali ya kujiuliza. Je, serikali ilikuwa na mpango huo siku nyingi? Kama ndio, Je, serikali ina utaratibu gani yaani sheria na Kanuni za kuuza mali zake chakavu? Ninaamini hapo chenye thamani kubwa ni Kiwanja kuliko jengo. Je, ni sawa serikali kupoteza kiwanja hicho? KWA NINI SERIKALI ISITANGAZE MNADA BASI ILI USHINDANI UWEPO NA KUWEZESHA KUPATA BEI KUBWA ZAIDI KULIKO ILIVYO SASA. Kuna kitu hapa ndani yake. Kuna siku ofisi zote za serikali zitakuwa uchochoroni Dar kwa vile hata kuhamia Dom hawataki.