Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 687
1. Mh Mbowe amuuliza PM juu ya kauli za CCM na serikali eti wakichagua wapinzani majimbo yao hayatapata fedha za maendeleo. Mf. ni kauli ya Mary Nagu kwenye kampeni Arumeru,
Ole Medeye huko Meru, Magufuli huko Igunga
Pm. Anasikitishwa na ahayo japo si kweli, na anafikiri Watanzania waendelee kujenga demokrasia ya kweli. kauli za kwenye mapaambano ya uchaguzi ni mambo unfortunate lakini sheria zitaendelea kusimamiwa kwa kufuata katiba.
Ole Medeye huko Meru, Magufuli huko Igunga
Pm. Anasikitishwa na ahayo japo si kweli, na anafikiri Watanzania waendelee kujenga demokrasia ya kweli. kauli za kwenye mapaambano ya uchaguzi ni mambo unfortunate lakini sheria zitaendelea kusimamiwa kwa kufuata katiba.