Mwanzo walisema atuna elimu ila sasa atuna experience, nini tutarajie?

herrypeter1

JF-Expert Member
Jan 17, 2009
223
29
Wakati wa ukoloni wawekezaji walio kuwa wanakuja awakuajiri wazawa kutokana kuwa walisema atuna elimu, Ni kweli watanzania wengi tulikuwa atuna elimu na wale walikuwa na elimu ilikuwa ni rahisi kupata ajira, ila sasa wanasema BAADA YA WATANZANIA KUWA NA ELIMU WANAITAJI EXPERIENCE NA WANARETA WATU KUTOKA KWAO KUTOKANA ATUNA EXPERIENCE, JE TUTARAJIE NINI BAADA YA EXPERIENCE? ILI TUJIAANDAE
 
mambo.ya experience yanaboa.sana so mtu ukitoka chuo inabidi ukae home tena?
 
Wakati wa ukoloni wawekezaji walio kuwa wanakuja awakuajiri wazawa kutokana kuwa walisema atuna elimu, Ni kweli watanzania wengi tulikuwa atuna elimu na wale walikuwa na elimu ilikuwa ni rahisi kupata ajira, ila sasa wanasema BAADA YA WATANZANIA KUWA NA ELIMU WANAITAJI EXPERIENCE NA WANARETA WATU KUTOKA KWAO KUTOKANA ATUNA EXPERIENCE, JE TUTARAJIE NINI BAADA YA EXPERIENCE? ILI TUJIAANDAE

hatujui kazi
 
Kwa namna yako ya uongeaji nina shaka kama unaelewa maana ya kusoma na kuwa na elimu.

ATUNA elimu,

WANARETA
watu......hii ni dalili mbaya. Kama umeenda shule na bado unaleta kiswahili kichafu namna hii sijui kwenye hesabu na mwandiko ukoje.

Nachefuka sana na viswahili vichafu, bora uongee broken English usamehewe kwa kuwa ni lugha ngeni lkn si kiswahili. Hiyo ni dalili kuwa unachukua miaka 10 ku - adopt jambo dogo tu.

Unahitaji experience ya kuongea
 
Wakati wa ukoloni wawekezaji walio kuwa wanakuja awakuajiri wazawa kutokana kuwa walisema atuna elimu, Ni kweli watanzania wengi tulikuwa atuna elimu na wale walikuwa na elimu ilikuwa ni rahisi kupata ajira, ila sasa wanasema BAADA YA WATANZANIA KUWA NA ELIMU WANAITAJI EXPERIENCE NA WANARETA WATU KUTOKA KWAO KUTOKANA ATUNA EXPERIENCE, JE TUTARAJIE NINI BAADA YA EXPERIENCE? ILI TUJIAANDAE

Mi bwana sielewi atuna ndio nini.
 
Kwa namna yako ya uongeaji nina shaka kama unaelewa maana ya kusoma na kuwa na elimu.

ATUNA elimu,

WANARETA
watu......hii ni dalili mbaya. Kama umeenda shule na bado unaleta kiswahili kichafu namna hii sijui kwenye hesabu na mwandiko ukoje.

Nachefuka sana na viswahili vichafu, bora uongee broken English usamehewe kwa kuwa ni lugha ngeni lkn si kiswahili. Hiyo ni dalili kuwa unachukua miaka 10 ku - adopt jambo dogo tu.

Unahitaji experience ya kuongea

Sasa nakubai kuwa kumbe mtu unaweza kuwa humjui lakini kwa lugha yake akakuchefua kabisa na kukuharibia siku...eti atuna....??!!:A S thumbs_down:
 
Kwa namna yako ya uongeaji nina shaka kama unaelewa maana ya kusoma na kuwa na elimu.

ATUNA elimu,

WANARETA
watu......hii ni dalili mbaya. Kama umeenda shule na bado unaleta kiswahili kichafu namna hii sijui kwenye hesabu na mwandiko ukoje.

Nachefuka sana na viswahili vichafu, bora uongee broken English usamehewe kwa kuwa ni lugha ngeni lkn si kiswahili. Hiyo ni dalili kuwa unachukua miaka 10 ku - adopt jambo dogo tu.

Unahitaji experience ya kuongea

Nataka nijue kuwa wewe unayejua lugha unifundishe, ila elewa kila mtu ana namna yake ya kufikisha ujumbe si lazima ujumbe uje kwa namna ambayo wewe unaona ni sawa kwa lugha unayotaka wewe, na ndio maana kuna kitu kinaitwa DIVISION OF LABOUR..............nashukuru kwa ushauri wako na kunielewa kuwa mimi sijui kiswahili ingawa ni lugha yangu
 
Sasa nakubai kuwa kumbe mtu unaweza kuwa humjui lakini kwa lugha yake akakuchefua kabisa na kukuharibia siku...eti atuna....??!!:A S thumbs_down:

Nafikiri huwa unasoma gazeti la mwananshi kila jumapili......
 
Experience ingekua inauzwa!, ningenunua kwa gharama yoyote ile,hata lile shamba letu tungeuza ili niipate hiyo experience,maana sasa hawatuajiri eti sababu experience,kuna mtu anazaliwa na experience?
 
ukiwa na expirence sana nalo tatizo kwa bongo, chamsingi watu wasiyo kuwa na ajira inabidi waungane kwa pamoja nakubuni mradi wa kujiajiri wenyewe Tatizo lanchi yetu haina Makampuni ma kubwa naviwanda novyo hakuna lakini pamoja nayote hayo "there is a lot of money to be maide"
 
ss mtu ukiwa chuo,maana ya kufanya field cjuui ni nn?hainiingii akilini,experience naitoa wapi wakati hamtaki kuniajiri?
 
Kwa namna yako ya uongeaji nina shaka kama unaelewa maana ya kusoma na kuwa na elimu.

ATUNA elimu,

WANARETA
watu......hii ni dalili mbaya. Kama umeenda shule na bado unaleta kiswahili kichafu namna hii sijui kwenye hesabu na mwandiko ukoje.

Nachefuka sana na viswahili vichafu, bora uongee broken English usamehewe kwa kuwa ni lugha ngeni lkn si kiswahili. Hiyo ni dalili kuwa unachukua miaka 10 ku - adopt jambo dogo tu.

Unahitaji experience ya kuongea

kiswahili z a toothless language which has failed to manifest itself, so don mind a lot just let t go
 
ukiwa na expirence sana nalo tatizo kwa bongo, chamsingi watu wasiyo kuwa na ajira inabidi waungane kwa pamoja nakubuni mradi wa kujiajiri wenyewe Tatizo lanchi yetu haina Makampuni ma kubwa naviwanda novyo hakuna lakini pamoja nayote hayo "there is a lot of money to be maide"

nafikiri serikali iangalie swala ili kweli kwa kusapoti watu wenye idea za kuweza kuwaajiri watanzania wenzao maana tatizo linazidi kula kukicha, adi inasikitisha kwa niliyo yasikia clouds mtu amesoma kwa ajiri ya kukosa kazi anauza mwili wake... nafikiri ni wakati nasi wanaanchi kusimamia ili na kuifosi serikali yetu kutoa misaada kwa vijana wanao maliza vyuo
 
ss mtu ukiwa chuo,maana ya kufanya field cjuui ni nn?hainiingii akilini,experience naitoa wapi wakati hamtaki kuniajiri?

nafikiri serikali yetu iweke sheria kwenye makampuni kuajiri 20 - 50 kulingana na size ya kampuni vijana kazaa wanaomaliza vyuo wasiokuwa na experience, si kila wakati kututaka experience tUUUUU
 
Back
Top Bottom