King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,328
- 67,754
Jamaa ni mgonjwa wa KISUKARI ila dodoso za chini chini zinasema ana ngoma! ndio maana hakutaka kuoa mpaka leo!
ee mungu wa israel tunusuru!
Kuna wimbo wa kalapina unaitwa beef kuna mstari unasema
"Acheni uch.o.ko mabinti wa ving'oko na mgoroko dudubaya,Jay nakuonea huruma najua una miwaya virusi alivyokupa mal.aya aliyekufa kule tanga"
Source:http://www.eastafricantube.com/media/68533/KIkosi_Cha_Mizinga_-_Beef_(Dudubaya,Fid_Q,Prof_Jay,Babuu,Chidi_Benzino_&_Many_More_Diss)/