Bukutonaga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 246
- 46
Leo katika viwanja vya Igoma Umati mkubwa sana ambao watu hawakutegemea kutokana na sumu ilo kuwa imeenezwa kwa wananchi kupitia madiwani wawili waroho wa madaraka nzuri zaidi wananchi wameelewa na wanajua pia wameunga mkono maamuzi yalifikiwa juu ya hawa waroho.
Wananchi walifurika kusikiliza sera na mambo ambayo Mbunge wao alikuja kuwaambia kuhusu yalojili bungeni na pia kawasisitizia kuwa tume ya katiba inakuja mwanza so wajitahidi kwenda kutoa maoni yao kwa kweli ameongea mambo mengi sana kuhusu jimbo lake hasa maendeleo yalofanyika katika kipindi cha miaka miwili kasoro tangu CDM ishike usukani ndani ya jiji la mwanza.
Nawasilisha!
Wananchi walifurika kusikiliza sera na mambo ambayo Mbunge wao alikuja kuwaambia kuhusu yalojili bungeni na pia kawasisitizia kuwa tume ya katiba inakuja mwanza so wajitahidi kwenda kutoa maoni yao kwa kweli ameongea mambo mengi sana kuhusu jimbo lake hasa maendeleo yalofanyika katika kipindi cha miaka miwili kasoro tangu CDM ishike usukani ndani ya jiji la mwanza.
Nawasilisha!