ThinkPad
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,844
- 232
Katika pita pita zangu kitaa nikakuta magroup ya watu kibao maeneo ya Nyakato Nation nilipofika maeneo ya Mwatex ndio jamaa wakasema kuwa mwanajeshi alikuwa na pikipiki akapigwa na Mapolisi so raia ndio wakaingilia kati yaani ni mshikemshike polisi na risasi na raia na mawe yaani ni full balaa wakati narudi ndio ikawa issue mabomu ya machozi maeneo ya mwatex yamepigwa raia wanakimbizana na askari raia wanarusha mawe ni balaa hata risasi hazioni ndani, mpaka ikabidi turudi tuliko kuwa coz njia haipitiki. mpaka naingia mtamboni.