OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo Wakuu ! Ule usemi usemao mjinga akijitambua,mwerevu upo matatani umetimia jumapili nextweek baada ya cdm kuibwaga ccm kwenye uchaguzi wa mwenyekti wa kijiji Nyehunge,wilaya Sengerema,MWANZA. Hivi kwa murejesho huu bado ccm wana mtaji vijini? Mie binafsi napata utata baada ya Mh Ngereja kukaririwa na vyombo vya habari akidai amevunja ngome ya cdm kanda ya ziwa. CCM ya watanzania wakulima na wafanyakazi ili kwenda na Mwl Nyerere,kilichopo ni kama DANGULO tu ambamo wezi,wanyang'anyi,majambazi,vibaka,mafisadi etc wana ambiwa WELCOME TO THE WORLD. Naomba kuwasilisha.