mwanza noma....

Bishanga

JF-Expert Member
Jun 29, 2008
15,323
10,050
niko mwanza,jamani maraha yananiua,msosi wa nguvu kirunba resort,live music villa,mwanza hotel live band wanawake wa ukweli.......yaani mwanza shuruti nirudi!
 
Ndiyo kusema kijana ufike Mwz, then usiwasiliane na sie vigogo wa Mwz ?
Unaogopa nini ? Ama umekuja kumalizia kuuza mzigo wa zile Arv fake ?
N'shakutilia shaka ujue ?
 
Huko Mwanza kunani? maana wanaoenda huko sifa zao kama zinafanana hivi!!!
 
Mtoa mada just take a short glance to your Pm, there's my kifurushi .
 
mkuu Bishanga usemayo mwanza ni balaa mie nilikuwa huko ths past week i enjoyed 2th maximum
 
Last edited by a moderator:
Huko Mwanza kunani? maana wanaoenda huko sifa zao kama zinafanana hivi!!!

Mkuu, maneno ya Mwz mbona mabwaku!
Tunu lukuki ! Labda nikupe moja ya tunu tulizonazo.
Mathalan huku tunae samaki anaeboresha yale mambo yetu, ziada ya Pweza x2!
Kiasi tunafuta medics za ku'reduce speed km per hour !
That's why nachelea kumkaribisha mtu kama Rutta najua akija akaila hiyo mifish, Madame atarudisha brideprice !
Au Aspirin akija huku ule mtandao wake utafariki !
 
Mkuu, maneno ya Mwz mbona mabwaku!
Tunu lukuki ! Labda nikupe moja ya tunu tulizonazo.
Mathalan huku tunae samaki anaeboresha yale mambo yetu, ziada ya Pweza x2!
Kiasi tunafuta medics za ku'reduce speed km per hour !
That's why nachelea kumkaribisha mtu kama Rutta najua akija akaila hiyo mifish, Madame atarudisha brideprice !
Au Aspirin akija huku ule mtandao wake utafariki !

Hahaha...huyo samaki gani tufanye mpango wa kumfuga huku maeneo ya pwani
 
Hiyo ndiyo rock city jiji la maraha.
Ila wakuu muwe na rahadhari.
 
Hahahahahahahahahahaha
mwanza,mwanza
huyo samaki naomba usimpatie Bishanga maana ata uwa mtu!
Mkuu, maneno ya Mwz mbona mabwaku!
Tunu lukuki ! Labda nikupe moja ya tunu tulizonazo.
Mathalan huku tunae samaki anaeboresha yale mambo yetu, ziada ya Pweza x2!
Kiasi tunafuta medics za ku'reduce speed km per hour !
That's why nachelea kumkaribisha mtu kama Rutta najua akija akaila hiyo mifish, Madame atarudisha brideprice !
Au Aspirin akija huku ule mtandao wake utafariki !
 
Hahahahahahahahahahaha
mwanza,mwanza
huyo samaki naomba usimpatie Bishanga maana ata uwa mtu!

Kwanza Bishanga mwenyewe nimepata tetesi kafikia Igombe nje ya mji , kule guest room buku 3!
Sina hakika kama ntakutana nae, kwa kua si rahisi mi kufika kule, barabara mbovu na mie gari yangu iko chini sana, sijaiwekea specer za kuinyanyua.
 
niko mwanza,jamani maraha yananiua,msosi wa nguvu kirunba resort,live music villa,mwanza hotel live band wanawake wa ukweli.......yaani mwanza shuruti nirudi!

duh, nahic umekimbia majibu angaza. btw karibu ila uwe na helmet. make tulichomfanya Erickb52 ni cha mtoto njoo kichwa kichwa tu.
Wapi Elizabeth Dominic, kuna kitu kimevamia jiji na hajitatiw.a adabu. . .
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom