Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Habari kutoka Mwanza ni kuwa walimu na wadau wengine wa sensa waliokuwa wakiendelea na semina ktk ukumbi wa shule za sekondari Mwanza na Pamba wameingia mtaani na kuandamana hadi kwa mkuu wa wilaya baada ya kumaliza semina leo lakini serikali kushindwa kuwalipa fedha zao.
Taarifa za ndani zinasema tangu juzi serikali ilikuwa inahaha kupata fedha hizo na iliposhindikana, DC wa Nyamagana aliamua kukimbia ofisi na hajaonekana tangu asubuhi. Magari ya polisi yenye maji ya kuwasha na askari wenye silaha wanaendelea kufika eneo hilo na kutishia umati huo kutawanyika...
Taarifa za ndani zinasema tangu juzi serikali ilikuwa inahaha kupata fedha hizo na iliposhindikana, DC wa Nyamagana aliamua kukimbia ofisi na hajaonekana tangu asubuhi. Magari ya polisi yenye maji ya kuwasha na askari wenye silaha wanaendelea kufika eneo hilo na kutishia umati huo kutawanyika...