mahololelo
Member
- Oct 11, 2011
- 32
- 5
jiji la mwanza hapatoshi bunduki mabomu ya machozi yametawala kutokana na vurugu zinazohusishwa na kesi ya waislam na wakristo,maduka yamefungwa mambo hayaendi hapa.wanatakaka mahakama iwakabidhi mtuhumiwa wamuhukumu wao