Mwanza kumewaka

mahololelo

Member
Oct 11, 2011
32
5
jiji la mwanza hapatoshi bunduki mabomu ya machozi yametawala kutokana na vurugu zinazohusishwa na kesi ya waislam na wakristo,maduka yamefungwa mambo hayaendi hapa.wanatakaka mahakama iwakabidhi mtuhumiwa wamuhukumu wao
 
jiji la mwanza hapatoshi bunduki mabomu ya machozi yametawala kutokana na vurugu zinazohusishwa na kesi ya waislam na wakristo,maduka yamefungwa mambo hayaendi hapa.wanatakaka mahakama iwakabidhi mtuhumiwa wamuhukumu wao
Huu uchochezi wadini umeletwa na maghamba na serikli yake, matokeo yake ndio hayo!!!!!!!!!!!!! Ehe Mungu tusaidie Tanzania utuepushe na baraa hili!!!!!!!!!
 
umechelewa mkuu, ulipaswa kumuomba Mungu mapema awape Watz uwezo wa kutambua viongozi wazuri. Maji tulishayamwaga tena, tuombee isifike kiasi cha kutisha
Huu uchochezi wadini umeletwa na maghamba na serikli yake, matokeo yake ndio hayo!!!!!!!!!!!!! Ehe Mungu tusaidie Tanzania utuepushe na baraa hili!!!!!!!!!
 
jiji la mwanza hapatoshi bunduki mabomu ya machozi yametawala kutokana na vurugu zinazohusishwa na kesi ya waislam na wakristo,maduka yamefungwa mambo hayaendi hapa.wanatakaka mahakama iwakabidhi mtuhumiwa wamuhukumu wao
...Mtuhumiwa ni nani huyo??!!
 
Wakuu mi sipendi kuzunguka sana hawa waislam wanapenda waitawale sana tanzania yetu mara utasikia wanataka mahakama yao (OIC ) kidogo hawataki makanisa yajengwe zanzibar hivi wao ndio wa muhimu sana ktk serikali? Ila si waislam wote haswa hawa wanao jiita wanamsimamo mkali kama JK ataendesha nchi ktk mfumo huo ataifanya Tz iwe Afghanstan.minaona chanzo ni serikali kuwalea hawa jamaa wakiislam wachache.Lakini pia bado wapi wakristo wachache sana ambao wanajitaidi kupalilia hili suala.Yapo masuala mengi yanayochochea mambo haya if u want 2 know them ni2mie kwenye Pm Mmasi.
 
bado 'network' yangu haisomi kabisa ktk hii kamba. Au jamaa ameiandika akiwa bado na mning'inio
 
Back
Top Bottom