**Mwanza City Gallery**

Kibunango

Platinum Member
Aug 29, 2006
8,416
2,264
Image612.jpg


Image608.jpg


Image607.jpg


Image605.jpg


Image578.jpg


Image575.jpg


Image585.jpg


Image687.jpg


Image616.jpg


Image580.jpg


Image584.jpg

 
Last edited by a moderator:
beautiful Mwanza,
lazima siku moja na mimi nifike huko!!
Kabisa Mimi naikumbuka Nyegezi,. Na Mapuya yake pale Luchelele. Na watoto dogodogo pale Nganza. Na Wazee wasiojua kucheza "disco music" pale Buhemba- Ehh. I love u Mwanza.
 
Ukipikiwa punk na mchuzi wake ukawa umeungwa kwa mbegu za maboga zilizotwanga,nakwambia lazima urudi Mwanza kusalimia !
 
Taka za nini tena hapo ... umaharibu bwana ..... other wise very coool indeed
Image687.jpg


Picha hii najaribu kuonyesha maisha ya kila siku ya Waakazi wa Mwanza, Hapo kuna mfanyakazi wa CBO yupo busy na simu yake, wengine wamesimama huku kuna taka rukuki chini ambazo zinatakiwa kuwa ndani ya kontena...

Pembeni kuna mtu anatafuta chupa za maji zilizotumika kwa ajili ya kuzirecycle, Iwapo wakaazi wa Mwanza wangekuwa wanatenganisha taka, wangeweza kulicycle chupa za maji na kijipatia kipato, aidha wangeweza kureuse baadhi ya taka na kubana matumizi, muhimu zaidi wangepunguza taka wanazotupa kwenye majaa. Taka za jikoni ni rasilimali tosha kwa mbolea ya Mboji, hivyo basi kama taka zote za jikoni kasoro majivu zingekuwa zinatumika katika kutengeneza mbolea, ni taka chache sana ambazo zingekuwa zinatupwa na kufika jaa kuu la Buhongwa..
 
Umenikumbusha mbali mwanawane!..tungeomba na picha za kapiri point,stendi ya mabasi pale kemondo, kona ya bwiru na kule kilima hewa!
 
Mji wa Mwanza umezungukwa na milima ya mawe, milima ya almasi, milima ya dhahabu, maji baridi, na samaki watamu

Mwanza Oooh Mwanza

-Remmy Ongala

Unajua Kibunango umekuwa kama clairvoyant vile, Mwanza was on my mind leo hii.Nilikuwa nasema ingekuwa safi sana kama mtu anaenda bongo halafu ana skip hustle and bustle ya Dar na kwenda Mwanza. Previously I had the same thoughts about Tanga, kuna vibe tofauti na noxious Dar.
 
Mji wa Mwanza umezungukwa na milima ya mawe, milima ya almasi, milima ya dhahabu, maji baridi, na samaki watamu

Mwanza Oooh Mwanza

-Remmy Ongala

Unajua Kibunango umekuwa kama clairvoyant vile, Mwanza was on my mind leo hii.Nilikuwa nasema ingekuwa safi sana kama mtu anaenda bongo halafu ana skip hustle and bustle ya Dar na kwenda Mwanza. Previously I had the same thoughts about Tanga, kuna vibe tofauti na noxious Dar.

welcome...:D
 
Mie mwenyeji wa uko lakini hizi picha ni utata nimetoka majuzi imebidi nimtumie mtu tena anielekeze tena kwamba hizo fukwe na madhali mazuri ziko maeneo fani...kama mtumaji angekuwa anaweka na title chini ingekuwa rahisi sana...mwanza inakuwa jamani.

Sio lile zizi la zamani...nguo nyeupe haina soko...sasa tambalale...Tarime mpaka Airport mwanza....Kahama mpaka airport mwanza...

Stay online.
 
absolutely... ningependa picha ya kona ya kwenda Isamilo pale kwenye kibanda cha kuuza kanda kwenye "I turn, U turn we all turn to U turn"...

Sasa mbona haujamalizia,mana mie nilikuwa nikipita hapo u turn nikielekea tuition kwa mwalimu Aron nyakabungo,kwa hakika mmenikumbusha mbali sana.Hiko hivi mwanakijiji,'I TURN,YOU TURN,WE ALL TURN TO U TURN RESTAURANT'
 
Woh! hiyo picha ya kwanza ni hotel ya nssf, hapa nssf nimewavulia kofia! zamani hapa lilikuwa josho la mbwa, kuna watu waliandamana hadi kwa RC wakipinga kuondolewa kwa josho hilo eti mbwa wao watapata ukurutu.

picha ya tatu ni shopers plaza ya ppf, hili jengo lina car park ya gorofa tano ukitaka kudrive hadi juu sawa au vipi unalipandisha kwa lift maalumu. nyuma yake kuna ka libraly koko, nadhani katafutiwe sehemu nyingine tulivu.

funiko itakuwa hiyo hotel ya moil inayotegemewa kujengwa pale uwanja wa nyamagana. Hotel hii itakuwa na hadhi ya nyota tano na vyumba 300. viwanja vya long tenis, busket ball, budminton, squash na gim. kwa ujumla indoor games zote zitakuwepo. Sio Movenpik kama wewe sio mlevi utaboreka zaidi ya vinywaji hakuna cha ziada.

Hiyo picha ya pili niwafanyakazi wa budege sijui hii kampuni ni ya kinjeketile, angekuwa mwingine angekwisha fukuzwa siku nyingi.

mwanza airport itakuwa international airport sio muda mrefu, ndo itakuwa mwisho wa ATC kwenda mwanza kwani abiria wengi niwafanyabiashara wanaokwenda zao Dubai na hongkong.
 
Buswelu, hivyo ndo viwanja vya gofu jk alivyoshauri alipokuwa mapumzikoni mwanza, viko fukwe za luchelele, pia kuna resort ya night support ni us$800ppn tu unaweza tembelea siku moja, kama sikosei tiger wood na wenzie watakuwa hapo mwakani.

Hapo alipopumzika mdosi nafikiri ni kamanga ferry hiyo ni public beach kama ilivyo koko beach, ila ukitupa ovyo chupa la dasani mgambo wa jiji anakomaa nawewe.

Haya nimatunda ya mh.ole njolaay na mh.Kabwe.
 
Image687.jpg


Picha hii najaribu kuonyesha maisha ya kila siku ya Waakazi wa Mwanza, Hapo kuna mfanyakazi wa CBO yupo busy na simu yake, wengine wamesimama huku kuna taka rukuki chini ambazo zinatakiwa kuwa ndani ya kontena...

Pembeni kuna mtu anatafuta chupa za maji zilizotumika kwa ajili ya kuzirecycle, Iwapo wakaazi wa Mwanza wangekuwa wanatenganisha taka, wangeweza kulicycle chupa za maji na kijipatia kipato, aidha wangeweza kureuse baadhi ya taka na kubana matumizi, muhimu zaidi wangepunguza taka wanazotupa kwenye majaa. Taka za jikoni ni rasilimali tosha kwa mbolea ya Mboji, hivyo basi kama taka zote za jikoni kasoro majivu zingekuwa zinatumika katika kutengeneza mbolea, ni taka chache sana ambazo zingekuwa zinatupwa na kufika jaa kuu la Buhongwa..


Je Kaka umeweza kuwapa darsa kidogo juu ya technologia hiyo ... ama umewaachia wana JF wakufikishie na kuwaelimisha wana mwanza?
 
Kuna wazungu wamitaani wanapost kwenye internet picha za kudhalilisha mji wa mwanza tizama sabrinaheadseast.blogspot.com , hicho kijiji sio mwanza kama sikosei ni gambusi huko bariadi. Nivyema wakaonywa wafanye kilichowaleta tu.

Kuhusu hiyo kampuni ya kuzoa taka sijui niya waziri! tumeshaipigia kelele mno, siku nzima wanapiga soga. Huyu nae siku nzima anapiga simu halafu agome eti mshahara hautishi! kweli?

Katika jengo la nssf kuna cctv na askari ukitupa taka hovyo wanawewe, hata ukishangaa shangaa bila kazi unatiwa korokoroni, vizuri utaratibu huu ukatumika mji mzima.
 
"nene na humoragah, natenamhayo, nalelya nembe ja kukaranga duhu elelo!!! :) :) :D "




 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom