Mwanza bwana!

Paul Kijoka

JF-Expert Member
Oct 25, 2010
1,399
255
Ukiachilia mbali hali ya hewa nzuri na usafi wa mji mimi sijui kwanini DSM ilikua sana kulinganisha na MZ. DSM kuna joto la kufa mtu kwanza, ukame, hakuna chakula cha kutosha nk. DSM kuna kila dalili ya ubaya ubaya. Kama jangwani vile ukiachilia mbali Bandari ya Mafisadi ambayo haina lolote ila mlundikano wa makontena.

Hivi ni kweli kuwa kuna hali ya uonevu kwa watu wa kanda ya ziwa kulingana na nafasi yake kijiografia na hali ya hewa?


2Q==
 
Asante mkuu kwa kunikumbusha, niliwahi fikiria hilio. Tatizo ni viongozi wetu. Sababu za kukua kwa kasi mji wa DSM, ni kushindwa kuweka magawanyo sawa wa huduma za jamii. Angalia, kanda ya ziwa hakuna hata university yoyote ya serikali, ukiachilia SAUT na Tumain branch Bukoba. Ili upate elimu ya versity unalazimika uteseke kuja Dar, ukimaliza shule mawazo yako yote yanajua Dar ndo maisha. Binafsi, sipendi, sitamani kuishi dar. Nikija huwa nakaa siku mbili tu na kurudi peponi Mwanza. mwanza ni pazuri, rafiki zangu wakija huwa wanashangaa sana uzuri wa mwanza. kwa wajasiriamali ni jiji zuri sana, you can become rich within a very short time.
Ushauri: serikali ifungue vyuo kama dodoma kilia mkoa wa kanda ya ziwa, ueone kama watu watarundikana dar. I Love Mwanza.
 
Kwakweli Mwanza iko bomba, siku nikirudi Tz moja kwa moja nafikiri nitaishi Mwanza!
 
mwanza is everything
karibuni sana
ingawa barabara ndo sifuri,foleni inanyemelea km dar
 
I salute mwanza that's my home fella! Kila nikihitaji kupumzika lazima nifike mwanza I love u. Watendaji msilifanyie mtimanyogo jiji letu zuri mipango ya jiji iwe ya muda mrefu na yenye mlengo wa mbali zaidi.
 
Back
Top Bottom