lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
Habari Zyenuuuu!
Kama Kawa kama Dawa mimi niko Gado! Naendeleza kumtumikia Kafiri katika kutaka kutoka kimaisha!!!
Leo bana naomba niwaulize maoni yenu! Binafsi kuna wanaume wananipendaaa, they are super nice! Very Husband Material! lolest! Ila ndo nimewapiga BAN ya KUDUMU kwenye FRIENDSHIP ZONE! Dnt judge me! Atlest not yet!
Sasa nimewaza hivi inakuwaje, a Guy anakuapproach kwa swaga zote anataka MDATE na muwe na MAHUSIANO YA KIMAPENZI na anakuwa DIRECT KABISA WHAT HE IS EXPECTING! Mwanamke unalijua hili KABISA Ila kwa UMAFIA tu wa sisi wanawake wengi wetu, unaamua DELIBARATELY kuwa huyu SIMPI KITU KABISAAA! Haya umeamua humpi, fine! Muache aendelee kutafuta happiness, tunaona hapana! He is too good to let go, dawa ni moja tu, unambanish kwenye FRIENDSHIP ZONE PERMANENTLY.
Kwenye hii dunia ya URAFIKI TUU wanaume wananyanyasika sana sana sana. Yeye ndio wa kusahuri mahusiano yako, wa kuktoka nae ukigombana na BF, wa kila kitu! DAMN! Tena wengi wanatumikia kwa mda mrefu na utiifu mkubwa BUREEEEEEEEE! Alaf unakuta binti akiolewa wanakuwaga kwenye kamati ya Sendoff na Harusi kama MIZOMBI vile! Na anampongeza Bwana Harusi kwa Moyo Mkunjufu. Wengi wanakuwa na ujasiri wa kusubiria SIKU JUA LISICHOMOZE ambapo watafikiriwa upyaaa, ila REALITY ni kuwa Jua lazima lichomoze
Kuna vinganganizi wachache wanaobahatika KUBADILISHIWA VIFUNGO baada ya kutumikia FRIENDSHIP ZONE kwa muda mrefuu, na kuweza kuwazidi akili magereza wao, ila wengi huwa ni FUNGU LA KUKOSA!
Alafu these Guys wanakuwaga the VERY BEST, anaelewa unachotaka, yupo tayari kwa lolote ila ndo hivo tena HUVUTIWI NAE HATA! Sasa kinachonishinda kuelewa WHY?!!!
Mimi mwenyewe nimekuja kuandika haya hapa sababu ninayo hazina yangu ya MIZOMBI ya kutosha, japo leo nimekata shauri kuanzia kesho NIIFUNGULIE jumla jumla kwa KUMPA KILA MTU ZA USO kuwa hapa hamna kitu waendelee na michakato kwingine!
Pamoja na hayo roho inaniuma kama nini kuwa NAHANGAIKA kumtafuta THE ONE kila kona, wakati nina lundo la UNWANTED ONES alafu katika hao UNWANTED wote wanatafutwa na THE ONES wao!!! Yaani ni CHAOS THEORY!!!
INAKUWAJE UNAEMPENDA HAKUPENDI NA ANAEKUPENDA HUMPENDIIII!!!!!!
Kama Kawa kama Dawa mimi niko Gado! Naendeleza kumtumikia Kafiri katika kutaka kutoka kimaisha!!!
Leo bana naomba niwaulize maoni yenu! Binafsi kuna wanaume wananipendaaa, they are super nice! Very Husband Material! lolest! Ila ndo nimewapiga BAN ya KUDUMU kwenye FRIENDSHIP ZONE! Dnt judge me! Atlest not yet!
Sasa nimewaza hivi inakuwaje, a Guy anakuapproach kwa swaga zote anataka MDATE na muwe na MAHUSIANO YA KIMAPENZI na anakuwa DIRECT KABISA WHAT HE IS EXPECTING! Mwanamke unalijua hili KABISA Ila kwa UMAFIA tu wa sisi wanawake wengi wetu, unaamua DELIBARATELY kuwa huyu SIMPI KITU KABISAAA! Haya umeamua humpi, fine! Muache aendelee kutafuta happiness, tunaona hapana! He is too good to let go, dawa ni moja tu, unambanish kwenye FRIENDSHIP ZONE PERMANENTLY.
Kwenye hii dunia ya URAFIKI TUU wanaume wananyanyasika sana sana sana. Yeye ndio wa kusahuri mahusiano yako, wa kuktoka nae ukigombana na BF, wa kila kitu! DAMN! Tena wengi wanatumikia kwa mda mrefu na utiifu mkubwa BUREEEEEEEEE! Alaf unakuta binti akiolewa wanakuwaga kwenye kamati ya Sendoff na Harusi kama MIZOMBI vile! Na anampongeza Bwana Harusi kwa Moyo Mkunjufu. Wengi wanakuwa na ujasiri wa kusubiria SIKU JUA LISICHOMOZE ambapo watafikiriwa upyaaa, ila REALITY ni kuwa Jua lazima lichomoze
Kuna vinganganizi wachache wanaobahatika KUBADILISHIWA VIFUNGO baada ya kutumikia FRIENDSHIP ZONE kwa muda mrefuu, na kuweza kuwazidi akili magereza wao, ila wengi huwa ni FUNGU LA KUKOSA!
Alafu these Guys wanakuwaga the VERY BEST, anaelewa unachotaka, yupo tayari kwa lolote ila ndo hivo tena HUVUTIWI NAE HATA! Sasa kinachonishinda kuelewa WHY?!!!
Mimi mwenyewe nimekuja kuandika haya hapa sababu ninayo hazina yangu ya MIZOMBI ya kutosha, japo leo nimekata shauri kuanzia kesho NIIFUNGULIE jumla jumla kwa KUMPA KILA MTU ZA USO kuwa hapa hamna kitu waendelee na michakato kwingine!
Pamoja na hayo roho inaniuma kama nini kuwa NAHANGAIKA kumtafuta THE ONE kila kona, wakati nina lundo la UNWANTED ONES alafu katika hao UNWANTED wote wanatafutwa na THE ONES wao!!! Yaani ni CHAOS THEORY!!!
INAKUWAJE UNAEMPENDA HAKUPENDI NA ANAEKUPENDA HUMPENDIIII!!!!!!