jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,052
- 28,242
juzi kwenye kikao cha kujadili hoja za kamati teule za bunge nilimuona naibu waziri wa Tamisemi bw. Aggrey Mwanri akiomba serikali kupewa nafasi ya kumwajibisha mkurugenzi wa halmashauri zilizohusika na ufisadi.
Kwa maoni yangu hatua hii haitakuwa sahihi iwapo mawaziri wahusika hawatawajibika au kuwajibishwa kwanza.
Kuna madudu makubwa yanafanywa na serikali kuu(wizarani) hivyo si busara kukimbilia kuwawajibisha wakurugenzi wa halmashauri kabla ya kusafisha wizara.
Msumeno ni lazima ukate kotekote.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kwa maoni yangu hatua hii haitakuwa sahihi iwapo mawaziri wahusika hawatawajibika au kuwajibishwa kwanza.
Kuna madudu makubwa yanafanywa na serikali kuu(wizarani) hivyo si busara kukimbilia kuwawajibisha wakurugenzi wa halmashauri kabla ya kusafisha wizara.
Msumeno ni lazima ukate kotekote.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA