MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Fedha kubwa ni tamu wakipewa chadema si ya ufisadi lakini wakipewa CCM ni ya ufisadi. Je tutafika tuendako?
Kwani Sabodo yupo kwenye kundi la EPA, RICHMOND,MEREMETA, TULAWAKI, BUZWAGI na mengineyo ya aina hiyo???????????Wengine hata leo tunapoandika wanakula CAPACITY CHARGE Tshs156,000,000/= kila siku sijui hadi lini zitasitishwa?????Fedha kubwa ni tamu wakipewa chadema si ya ufisadi lakini wakipewa CCM ni ya ufisadi. Je tutafika tuendako?
Kwa nini kwenye kupokea hundi na vitu vingine huwezi kumuona Zitto na wengine? si ni naibu katibu Mkuu? sasa huyo Slaa kama anaumwa mkono kwa nini asiwakilishwe na Zitto? Ama kweli SAIDIA CHADEMA SLAA NA MBOWE WATAKATE
Kwa nini kwenye kupokea hundi na vitu vingine huwezi kumuona Zitto na wengine? si ni naibu katibu Mkuu? sasa huyo Slaa kama anaumwa mkono kwa nini asiwakilishwe na Zitto? Ama kweli SAIDIA CHADEMA SLAA NA MBOWE WATAKATE
Wa siyo watanzania sijaona sehemu walio weka mipaka kwamba mwisho kiwango furani kama uwezo wako wa kukichangia chama hata kama ni bil.....Na wale waliowapa million 100 mmewasahau?
Mimi nimeshachanga elf 20. sina hata kadi ya CDM. unaisikilizaje hiyo? ukitaka jinyonge.Huwezi kumchapa viboko mtu mzima ukimlazimisha amchukie adui yako wakati kweke yeye ni lulu. Wananchi wa Arumeru tusidanganyike na hila hizi za Chadema. Walikuwa na kachumbari yao ya ufisadi ikachacha, wakaja na Chachandu ya CCM wanaiba kura wakawa wamezidisha chumvi sasa wameamua kuwakamua kwa kuwaomba muachangie fedha, wakati tayari mlishawachangia na wanazichukua kupitia ruzuku na sijui kama wanalitambua hilo kuwa ruzuku ni kodi zetu.
Ahsante saana Mkuu naomba wahamasichaji wa CDM waweke namba za kuchangia hapa jamvini ACCT, M-Pesa, Tigo na Zan-Tel ili tuweze kuchangia wadau wenye nia ya kuleta mabadiliko kwenye nchi yetu, viva CHADEMA!!!!!!!!Mimi nimeshachanga elf 20. sina hata kadi ya CDM. unaisikilizaje hiyo? ukitaka jinyonge.