Tz. kazi ipo, kila kitu siasa. Prof hana hulka ya kupiga porojo ambapo kwa wabongo utaambiwa ni kiburi, lakini hata kama ana kiburi na hiyo ndio hulka yake, jee tumhukumu kwa hiyo hulka au kwa utendaji wake!
Nina mfano mmoja pengine utasaidia kuona tatizo katika sekta hiyo liko wapi. Hivi sa upo mpango mkubwa tu wa usambazaji maji nchini unaogharimiwa na Benki ya dunia lakini wilaya nyingi zilichelewesha kuanza utekelezaji kutokana na watalaamu waliko kwenye Halmashauri za Wilaya kushindwa kuwasilisha project writes up zao, hadi JK kumuomba Mwandosya apeleke wataalamu toka pale wizarani kwenye wilaya kusaidia utekelezaji wa kazi hiyo.
Wenye uelewa zaidi wa mradi huo wanaweza kuweka data sawa sawa lakini mimi nimetumia hapa kutokana na maelezo ya Profesa mwenyewe na JK alipokuwa ziarani Mbeya mwaka jana.
Sasa kama wataalamu wetu dio kikwazo, kosa la waziri hapa liko wapi, nitaomba kusaidiwa!
Nina mfano mmoja pengine utasaidia kuona tatizo katika sekta hiyo liko wapi. Hivi sa upo mpango mkubwa tu wa usambazaji maji nchini unaogharimiwa na Benki ya dunia lakini wilaya nyingi zilichelewesha kuanza utekelezaji kutokana na watalaamu waliko kwenye Halmashauri za Wilaya kushindwa kuwasilisha project writes up zao, hadi JK kumuomba Mwandosya apeleke wataalamu toka pale wizarani kwenye wilaya kusaidia utekelezaji wa kazi hiyo.
Wenye uelewa zaidi wa mradi huo wanaweza kuweka data sawa sawa lakini mimi nimetumia hapa kutokana na maelezo ya Profesa mwenyewe na JK alipokuwa ziarani Mbeya mwaka jana.
Sasa kama wataalamu wetu dio kikwazo, kosa la waziri hapa liko wapi, nitaomba kusaidiwa!