Mwandosya na Lipumba wafanyiwa upasuaji India

- Nilianzisha thread ya kuwafahamisha wananchi kuhusu suala zima la Malecela, sikusema watu watoe pole kama wewe unavyonilazimisha kwa nguvu, nilikuwa ninajaribu kuweka msingi muhimu kwamba kwa nini viongozi wetu wanatibiwa nje ni kwa sababu wanakuwa wameambiwa na wataalamu wetu bingwa kwamba waende huko baada ya wao hapa bongo kushindwa! na ni zoezi linafanyika Dunia nzima!

Willie @ NYC, USA.

Mkimaliza kulumbana...muwaombee wagonjwa wenu!!
 
Wac wac wangu kama walibwia kikombe cha Babu, basi tumsubiri Muumba mwenyewe. La hawakunywa, watapona tu.
 
- Nilianzisha thread ya kuwafahamisha wananchi kuhusu suala zima la Malecela, sikusema watu watoe pole kama wewe unavyonilazimisha kwa nguvu, nilikuwa ninajaribu kuweka msingi muhimu kwamba kwa nini viongozi wetu wanatibiwa nje ni kwa sababu wanakuwa wameambiwa na wataalamu wetu bingwa kwamba waende huko baada ya wao hapa bongo kushindwa! na ni zoezi linafanyika Dunia nzima!

Willie @ NYC, USA.
Very silly hutoi pole kwa vile hata mzee wako hukumwombea pole sasa ulikuwa unawashukuru wanaJF nini michango ya pesa waliyotoa? ngoja mimi nikupe pole kwa mawazo yako.
 
Wote uliowata ni wanasiasa ndio waliotusabishia umaskini. Wanajua vipimo hapa kwetu ni tatizo, dawa ndo hivyo hata vyumba godoro na kitanda shida. Wameamua wapate huduma bora nje ya nchi wakitumia hela nyingi walizotuibia watanzania huku watanzania maskini tukifa kwa njaa, umaskini na maradhi. Hata kama tuna maprofesa bila dawa na vifaa ni sawa na rubani akiwa hana ndege hivyo haitumii elimu yake kwa manufaa ya taifa.
Sio viongozi tu wanayotibiwa nje, magonjwa sugu ambayo hospitali zetu wanashindwa wanaomba Wizara inawapeleka nje.
 
Hivi kwa mfano mimi nikiumwa magonjwa kama hayo...kuna chance za kwenda India? Anyway Mungu awajalie afya njema...
sikuombee vibaya lakini kaumwe gonjwa ambalo Muhimbili hawaliwezi na muombe dakitari wako aku refer wizarani wakupeleke India.
 
nashindwa kusema pole kwa mwandosya
maana yeye ni mmoja wa watanzania walioifikisha hapo
sector ya afya na huduma zake

masikini wengi wamekufa na magonjwa madogo madogo hali wao
wakilipwa maposho makubwa kama waziri kila nakokwenda analipwa milioni 1.2
kama posho, hata kama amekwenda kwenye semina ya wizara yake lazima walipwe

sasa hiyo pesa wanayokwapu tungeweza kuwa na hospitali za maana kwa ajili ya watanzania
wote, yeye sasa yuko india hapa nyumbani watu wanaendelea kufa hali wao ndio sababisho.

augue kwa kadri mungu apendavyo

Prof. Mwandosya sio Prof. Mwakyusa
 
W.J. Malecela, Hivi mkuu wangu nchi inawapataje madaktari mabingwa? - Kuna ukweli gani kwamba viongozi wetu wanapelekwa India kwa sababu madaktari wetu hawana ubingwa wa kutosha kuwatibu hao viongozi au ni sababu hasa ni ukosefu wa vifaa na huduma bora!.. Na inakuwaje India, South Africa wanatoa tiba (sijui ndio hao madaktari mabingwa) sawa na Marekani au Cuba lakini sisi tunashindwa hata upasuaji.
 
nashindwa kusema pole kwa mwandosya
maana yeye ni mmoja wa watanzania walioifikisha hapo
sector ya afya na huduma zake

masikini wengi wamekufa na magonjwa madogo madogo hali wao
wakilipwa maposho makubwa kama waziri kila nakokwenda analipwa milioni 1.2
kama posho, hata kama amekwenda kwenye semina ya wizara yake lazima walipwe

sasa hiyo pesa wanayokwapu tungeweza kuwa na hospitali za maana kwa ajili ya watanzania
wote, yeye sasa yuko india hapa nyumbani watu wanaendelea kufa hali wao ndio sababisho.

augue kwa kadri mungu apendavyo



mungu hapendi jino kwa jino they say ......put your enemies closer
 
Back
Top Bottom