AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,033
Kama Lipumba yuko India kwa operesheni
Kama Malecela alikuwa UK kwa operesheni
Hayati Nyerere alitibiwa na kufia UK
Hayati Diria alitibiwa na kufia Germany
Inamaana baada ya miaka 50 ya uhuru,tuna madokta/maprofesa feki hapo Muhimbili kama hata viongozi wetu hawawaamini.
Sasa Muhimbili wanatibu watu weak,poor na ni walala hoi.
Howa many botched operations ambazo hatujui?
Kazi yao kwenda kutibiwa South Africa na huko South Africa kuna madokta kibao wa tanzania wanapiga mzigo vizuri tu.
tatizo vitendea kazi hakuna madokta wapo tena wazuri ila tatizo lipo serikalini hawataki kununua vifaa vya mahospitalini