Duuuh!! Kamanda una mihasira!nashindwa kusema pole kwa mwandosyamaana yeye ni mmoja wa watanzania walioifikisha haposector ya afya na huduma zakemasikini wengi wamekufa na magonjwa madogo madogo hali waowakilipwa maposho makubwa kama waziri kila nakokwenda analipwa milioni 1.2kama posho, hata kama amekwenda kwenye semina ya wizara yake lazima walipwesasa hiyo pesa wanayokwapu tungeweza kuwa na hospitali za maana kwa ajili ya watanzaniawote, yeye sasa yuko india hapa nyumbani watu wanaendelea kufa hali wao ndio sababisho.augue kwa kadri mungu apendavyo
Na wasio na uwezo waende wapi?? hapo ndio point ilivyo!!Tatizo kila kitu kimekuwa siasa, ulimwengu wote hauwezi kuwa sawa ndg. Kuna specialisation of labour. Mfalme wa Saudi Arabia juzi alikuwa matibabu New York, rais wa Venezuella kwa sasa yuko Cuba kwa matibabu. Sasa unashangaa nini wao kwenda India? Mungu atawaponya. Poleni sana
Mungu awasaidie. Yeye (Mungu) haangallii kama wewe una pesa au la, baraka na bakora yake huwafikia wote.Mbona sie wanatuacha tunapoteza ndugu hapa tz!!
RIP ndo kilichobakia
Si vizuri kumtakia binadamu mwenzako mabaya. Hakuna hakimu wa haki kama Mungu.nashindwa kusema pole kwa mwandosya
maana yeye ni mmoja wa watanzania walioifikisha hapo
sector ya afya na huduma zake
masikini wengi wamekufa na magonjwa madogo madogo hali wao
wakilipwa maposho makubwa kama waziri kila nakokwenda analipwa milioni 1.2
kama posho, hata kama amekwenda kwenye semina ya wizara yake lazima walipwe
sasa hiyo pesa wanayokwapu tungeweza kuwa na hospitali za maana kwa ajili ya watanzania
wote, yeye sasa yuko india hapa nyumbani watu wanaendelea kufa hali wao ndio sababisho.
augue kwa kadri mungu apendavyo
allah atawasasidia,watapona.
tuwekane sawa: Allah atamsaia lipumba na mungu wa kweli atamsaidia mwandosya
Ee bwana toa pole bila hiana.nashindwa kusema pole kwa mwandosya
maana yeye ni mmoja wa watanzania walioifikisha hapo
sector ya afya na huduma zake
masikini wengi wamekufa na magonjwa madogo madogo hali wao
wakilipwa maposho makubwa kama waziri kila nakokwenda analipwa milioni 1.2
kama posho, hata kama amekwenda kwenye semina ya wizara yake lazima walipwe
sasa hiyo pesa wanayokwapu tungeweza kuwa na hospitali za maana kwa ajili ya watanzania
wote, yeye sasa yuko india hapa nyumbani watu wanaendelea kufa hali wao ndio sababisho.
augue kwa kadri mungu apendavyo
Kama Lipumba yuko India kwa operesheni
Kama Malecela alikuwa UK kwa operesheni
Hayati Nyerere alitibiwa na kufia UK
Hayati Diria alitibiwa na kufia Germany
Inamaana baada ya miaka 50 ya uhuru,tuna madokta/maprofesa feki hapo Muhimbili kama hata viongozi wetu hawawaamini.
Sasa Muhimbili wanatibu watu weak,poor na ni walala hoi.
Howa many botched operations ambazo hatujui?