Hivi ugonjwa wa Waziri hadi ufikie wa muda gani ndipo atakapoombwa kuachia ngazi?
Hivi ugonjwa wa Waziri hadi ufikie wa muda gani ndipo atakapoombwa kuachia ngazi?
Sio waziri tu mwalimu kuna mbunge tangu achaguliwe hata kuapa hajaapa kwa ugonjwa! Ingawaje hatuwasemi kwa mabaya nadhani likizo ya maradhi haizidi miezi sita.
Kama Wizara inaweza kujiongoza kwa miezi na miezi bila ya Waziri basi waziri huyo hahitajiki tangu awali. Hilo la mbunge ni kuwanyima hao yao ya msingi wananchi kwa sababu ni zaizi ya mwaka sasa hawana mtetezi wa maslahi yao.
Ni jambo la Kiungwana kama huyo Mbunge na Waziri watajiuzulu kwa hiari yao, lakini kama hawatafanya hivyo, sheria inatakiwa iwepo kufuata mkondo.
ugonjwa ni siri kati ya DR wake na mgonjwa mwenyewe; sisi hatuwezi kuingilia na kutangaza; ongeeni na yeye mwenyewe atawaambia.
mi nashindwa kuwaelewa kina Mwandosya kwanini hawataki kuweka wazi nini kimewapata?
Akiwaachisha watazidi kuchanganyikiwa na wataona wametupwa ,waache waombe wenyewe kuachishwa,mbona pia bado wabunge na hawajaomba kuachia ubunge,baado wana matumaini ya kurudi katika hali zao za awali.Pia tusimlaumu raisi je katiba inasemaje iwapo waziri anaumwa?hayo ndio watu pale mjengoni Dodoma hawataki kuyasikia,wanakazana kupiga meza pwa pwahawa mawaziri wangeachia ngazi wao wenyewe kiungwana tu wapishe wenye afya njema wafanye kazi.Wao kwan hawaoni wanahitaji muda wa kutosha kupumzika kutengeneza afya yao?mie sio mpambe wa JK lakini kwa swala la wao kutoachia ngaz wanampa wakat mgumu yeye aliyewaweka hapo.Kwa maana nyingine sio waungwana na wala sio wapambanaji.Unapingaje ufisad wakat unapokea mshahara wa uwaziri na kaz hufanyi!!
Kwa ukaribu wake na JK?......Sidhani
Kwa ukaribu wake na JK?......Sidhani
Kama Wizara inaweza kujiongoza kwa miezi na miezi bila ya Waziri basi waziri huyo hahitajiki tangu awali. Hilo la mbunge ni kuwanyima hao yao ya msingi wananchi kwa sababu ni zaizi ya mwaka sasa hawana mtetezi wa maslahi yao.
Ni jambo la Kiungwana kama huyo Mbunge na Waziri watajiuzulu kwa hiari yao, lakini kama hawatafanya hivyo, sheria inatakiwa iwepo kufuata mkondo.