Mwandosya bado mgonjwa, kalazwa huko India; miezi miwili sasa

Hayo maclass unayoyataja hayana maana kuwa wengine wakatibiwe India na wengine Mwananyamala. Hao jamaa wanakwenda huko kwa vile ya hali mbaya ya Hospital zetu. Poor delivery kwenye public snd private sectors. No Wonder akina Jairo walitafuta mbinu mpya ya kupitisha bajeti za Wizara zao.

Imagine last month Rais wa Namibia aliumwa na alilazwa kwenye hospital za Namibia na wala hakusafirishwa kwenda RSA. Hivi sasa inasemekana Kaunda anaumwa na amelazwa Namibia. Sasa nchi kama Namibia ambayo haina hata medical school inauwezo huo inakuwaje nchi yetu ambayo ina medical school kama 5 inashindwa kutibu vigogo wake. Hapo utaona kuwa tatizo siyo watalam ila ni quality of service wameshindwa kuitengeneza kwao sasa wanaitafuta kwa wenzao.

...You are very right tatizo kubwa la Tanzania ni Vifaa...na weledi....yaani kwenye mfumo wote wa afya...unakuta mahali hata kama vifaa na madaktari ni wazuri ...paramedics unakuta wamesahauliwa [technicians] au manesi unakuta tatizo ....ili mfumo wa afya uwe umekamilika ...watumishi wote kwenye hospitali wanategemeana sana...tatizo hili linafanya madaktari wetu wakienda nje kuonekana wazuri sana kwani huko wanakuuta mfumo uliokamilika kwenye health service delivery yote!
 
Katika jumuia yoyote hatuwezi kuwa sawa ndio maana kuna madaraje Ist class, nd class, 3rd class etc, kutokana na wadhifa wake na kama matibabu yake hapa bongo haiwezekani kupelekwa nje siyo tatizo, nafikiri lengo la kumpeleka India ni ili apone haraka aje ahudumie wananch.
Kwani kupelekwa India ndio kupona haraka mbona haponi haraka sasa, lengo si kupona haraka kama hivyo Lt. Mayunga angepona haraka maana alikuwa huko huko, lengo ni kujifanya wao ni wa madaraja ya juu kama unavyosema hawawezi kuchanganywa na wengine Muhimbili ni matumizi mabaya ya kodi. Halafu bwana Dr wa ukweli kwenye maradhi hakuna cha first class wote ni class zero.
 
vichawi vya ccm vitakuwa vimesha mrushia mabomu.

jkmjm.jpg
 
Washamtengeneza huyu Prof... Mwaego Prof njo huku Mwanza kwa baba Gody mkombozi wa ulimwengu wote utapona kwa gharama ya imani yako tu.
 
..,jamaa ajiuvie gamba huko huko kitandan alipo...!! Bong tunatakiwa tuwe na strategiez tatzo ni poor muongozo..
 
mambo ya kukwapua vijisenti vya mamlaka za maji ndo sababu ............. Aliye juu mgonje chini!!!!

dhambi ya atcl inamuua na kumuangamiza kama mnakumbuka lile gazeti ninalo mpaka leo???huyu ndie aliegawa hili shirika kwa southafrica wakampeleka mwanae kusoma chuo huko jnb mpaka leo ajajibu kilichotokea na hadi barua ya wazungu kuwajulisha chuoni ada italipwa na southafrican airways mwisho wa siku wale mbwa sa wanaiba doller wanaweka kwenye hold za ndege kwenye mabox ni huyu ndie jamaa aliesema ndani ya miezi mitatu serikali inarudi na majonzi mtaniambia kelele za watoto wa wafanyakazi wa atcl na wengine baba zao wamepata pressure sababu ya atcl leo mwana anakula kuku kule sa hana adabu kabisa huyu mzee
 
...you are very right tatizo kubwa la tanzania ni vifaa...na weledi....yaani kwenye mfumo wote wa afya...unakuta mahali hata kama vifaa na madaktari ni wazuri ...paramedics unakuta wamesahauliwa [technicians] au manesi unakuta tatizo ....ili mfumo wa afya uwe umekamilika ...watumishi wote kwenye hospitali wanategemeana sana...tatizo hili linafanya madaktari wetu wakienda nje kuonekana wazuri sana kwani huko wanakuuta mfumo uliokamilika kwenye health service delivery yote!

embu tujali familia za wengine jamani
wote tukienda appolo wafanyakazi wa muhimbili watalipwa na nini??wacha waliochaguliwa waende sie tubanane muhi kama umeandikiwa kufa muhi utafia uko tu sio umeona mzee wetu balozi alikuwa ana kahospital chake mikumi mpaka amefia hapo ...
 
Nahisi kuna kaugonjwa kanamsumbua muda mrefu nilimwona pale engen mbezi akiwa mbele ya gari anaenda nyuma anarudi sijui alikuwa anssubiri mlupo ama alah mwisho akaongea na simu akaingia kwenye ka sehemu fulan pemben ya engen wanauza mappuchupuchu
 
JK should appoint someone to fill the void. I reckon January will fit this position.
Kwani Prof. amekuambia hawezi kupotena tena na kurudi kazini, au ndio maamuzi unayofanya ukiwa boss kwa wafanyakazi wako? Huo sio utaratibu wa kuappoint mtu mwingine kushika nafasi nyeti wakati mhusika bado yupo. After all, umemuona January ndio competent kuliko wengine. Try to think twice, lol!!!
 
He was rushed to Muhimbili National Hospital (MNH) before being referred to India for specialized treatment. Hapa ndipo ninapowaona magamba hawana maana. Mbona sie wadanganyika huwa tunasota hapo hapo Muhimbili mpaka dakika ya mwisho na wala hatukimbilii India au UK? Ah!! Haya..!

Tunamwombea yeye na familia yake apone, apate nguvu za kuendeleza nchi yetu.

Ila hapa wakuu ndio mnaelewa kwanini walalahoi wana uchungu, ilitakiwa Mh Mwandosya atibiwe apa kwetu, na kuendelea kuwapeleka wakubwa nje ya nchi kwa matibabu haitatusaidia, maana wanaona shida tulizonazo, ila kwa wao sababu wana uwezo wa kwenda kutibiwa nje (kwa hela za mlipa kodi), basi hawana muda.

Malalamiko yetu yako hapa!
 
kwa habari za uhakika nilizo nazo hiyo ndo bye bye kisiasa ya mwandosya! he ll never be 100% fit again ana kansa iliyosambaa sana!
 
Kafulila alisema, vigogo wanatibiwa nje na/au kwenye hospital nzuri.. kina Mary Nagu, Lukuvi, na wengineo wakataka kummaliza kwa mwongozo wa spika!!
 
Katika jumuia yoyote hatuwezi kuwa sawa ndio maana kuna madaraje Ist class, nd class, 3rd class etc, kutokana na wadhifa wake na kama matibabu yake hapa bongo haiwezekani kupelekwa nje siyo tatizo, nafikiri lengo la kumpeleka India ni ili apone haraka aje ahudumie wananch.
Ina maana wabunge wa CCM HAWALITAMBUI HILI..??? Maana Kafulila alipowaambiwa walibisha sana
 
Back
Top Bottom