Picha ilipigwa 1992 Mwandosya akiwa Katibu Mkuu Wizara ya Biashara. Alikuwa ziarani Musoma akaona ni heshima kumsalimia Mwalimu. Wakati huo sidhani alikuwa na mawazo yakuwa mwanasiasa. Hivi watu wote waliyopiga picha na Nyerere au kumtembelea Butiama walikuwa na ndoto za kuwa maraisi??