Mtandao huu ni pekee hapa nchini ambao uko huru. Kuna bloggers wengi tu ambao huchuja sana, na wengi wanahulka za kiitikadi. Zaidi ule unafahamiana na pengine umsifie kwanza ndio ......
Huu ni mtandao pekee ambao unatuunganisha watanzania po pote bila kujali itikadi, dini, kabila wala elimu.
Ndio Maana Naipenda JF ; Mtandao Kama "MiSupu" blog spot Nilikuwa naufagilia Hapo Mwanzo Ila kwa sasa Hadi aibu!! Full Itikadi!! Hadi sina Hamu tena ya Kuufungua!! Nadhani kwa weakness hii Mtu akianzisha Blogspot ambayo haipo Biased anaweza Kufunika sana!!