Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
Kituo cha itv leo kimeripoti mwandishi wake kunusurika kupigwa na wafuasi wa cuf wakati wakichukua matukio katika mapokezi ya pr. Lipumba na kulazimika kuondoka mahali hapo
je hasira hizi za wana cuf kwa itv nini chanzo?
Nawasilisha.
je hasira hizi za wana cuf kwa itv nini chanzo?
Nawasilisha.