Ni baada ya Polisi mmoja kumjeruhi mwanafunzi wa kidato cha 3 wa shule moja ya Morogoro kwa kumpiga risasi mguuni siku ya maandamano ya kupinga wanafunzi wa Ndanda , Mwandishi wa jamboleo aliekuwepo mita chache ya tukio katika barabara ya kuelekea Kwa mkuu wa mkoa alisikika kwa sauti kubwa kwa kusema"SAWA SAWA POLISI" kiliwafanya wanafunzi waliokuwa karibu na mwandishi huyo kuanza kupiga kelele za kulalamikia kitendo hicho cha kupongeza,baadae kundi kubwa la vijana waliokuwa wakinadamana waliingia hamasa za kutaka kumdhuru kwa kumvamia na kupiga
Ghafla kundi jengine la waandishi wa habari walaicha kazi yao na kuanza Kumnusuru mwandishi huyo kwakuchukua hatua za ziada za kuwasihi wanafunzi kutomdhuru na kumuondosha ktk tukio.
Kazi iliofanywa na waandishi wa Startv, Channel 10 ,TBC na wapiga picha wengine waliokuwepo katika tukio na jitihada binafsi za Jaffar Mponda wa Redio Imani na TV ziliweza kuzuia kupigwa kwa mwandishi huyo.
JEE KAZI YA MWANDISHI KATIKA MATUKIO KAMA HAYA KUMBE NI KUPONGEZA POLISI?BADALA YA KURIPOTI HABARI?
NINI TUTEGEMEE KWA VYOMBO VYETU VYA HABARI VILIVYOKUWA SIO VYA SEREKALI?
JEE KITENDO HICHI HAKIWEZI KUVURUGA AMANI NA UTULIVU KATI YA WAKIRISTO NA WAISLAM?
JEE JAMBOLEO INAWEZA KUJIVUNIA NINI KWA JAMII?
Ghafla kundi jengine la waandishi wa habari walaicha kazi yao na kuanza Kumnusuru mwandishi huyo kwakuchukua hatua za ziada za kuwasihi wanafunzi kutomdhuru na kumuondosha ktk tukio.
Kazi iliofanywa na waandishi wa Startv, Channel 10 ,TBC na wapiga picha wengine waliokuwepo katika tukio na jitihada binafsi za Jaffar Mponda wa Redio Imani na TV ziliweza kuzuia kupigwa kwa mwandishi huyo.
JEE KAZI YA MWANDISHI KATIKA MATUKIO KAMA HAYA KUMBE NI KUPONGEZA POLISI?BADALA YA KURIPOTI HABARI?
NINI TUTEGEMEE KWA VYOMBO VYETU VYA HABARI VILIVYOKUWA SIO VYA SEREKALI?
JEE KITENDO HICHI HAKIWEZI KUVURUGA AMANI NA UTULIVU KATI YA WAKIRISTO NA WAISLAM?
JEE JAMBOLEO INAWEZA KUJIVUNIA NINI KWA JAMII?