Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,941
- 9,947
Tatizo la CHADEMA ni kwamba wakiambiwa ukweli huwa hawataki wao ni ubidshi tu. Kusema kweli kwa suala la mkuu wa wilaya hapa CDM wameboronga. Imenikumbusha bango moja lililosema "Vurugu zenu pelekeni huko Arusha." CHADEMA ni vema mkapgania haki lakini siyo kueneza vurugu zisizo na tija.