Nimekuwa nikisoma habari za kesi ya Bwana Liyumba kupitia magazeti mbali mbali,likiwemo Tanzania Daima ambako mwandishi Happyness Katabazi ndiye anayeripoti masuala ya mahakamani.
Uandishi wake ni wa kishabiki sana.naona kama haufuati kanuni za fani ya habari.nikitizama Gazeti la Nipashe linavyoripoti au Mwananchi kuna tofauti kubwa sana.mnaweza kupitia Blog yake Katabazi na kuona maandishi yake.
kwenye kuripoti kwake anawasifu mawakili wa Liyumba mara kwa mara utasikia kulikuwa na kicheko.
mnaweza kutizama habari yake www.freemedia.co.tz halafu tizama www.ippmedia.com tizama hata huko nyuma alivyokuwa akiripoti. anaandika kishabiki sana.soma maandishi yake hapa.
http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=15158
Uandishi wake ni wa kishabiki sana.naona kama haufuati kanuni za fani ya habari.nikitizama Gazeti la Nipashe linavyoripoti au Mwananchi kuna tofauti kubwa sana.mnaweza kupitia Blog yake Katabazi na kuona maandishi yake.
kwenye kuripoti kwake anawasifu mawakili wa Liyumba mara kwa mara utasikia kulikuwa na kicheko.
mnaweza kutizama habari yake www.freemedia.co.tz halafu tizama www.ippmedia.com tizama hata huko nyuma alivyokuwa akiripoti. anaandika kishabiki sana.soma maandishi yake hapa.
http://www.freemedia.co.tz/daima/habari.php?id=15158