kiwalanikwagude
Member
- Jun 8, 2011
- 52
- 19
Kwanza kabisa napenda kumpa pole mwandishi mwenzangu Charles Mullinda ambaye tumewahi kufanya kazi pamoja pale Tanzania Daima mimi niliondoka mwenyewe ili kujikita na shughuli zangu za ujasiriamali ila takribani week tatu zilizopita nimepata taarifa kuwa Mullinda ambaye amewahi kuvuma na safu ya MCHOKONOZI kwenye Tanzania Daima kafukuzwa kutokana na kununuliwa na chama cha magamba CCM pia taarifa zikadai Alex Msama kamwajiri pale Dira Media mitaa ya kinondoni Biafra kama mhariri wa gazeti la Dira linalotoka kila jumatatu.
Mwanzoni nilidhani mwandishi huyo kaonewa ila leo nimelipata gazeti la Dira kutoka kwa rafiki yangu aisee nimekuta makala ya Mullinda ikiwa na kichwa cha habari cha MCHOKONOZI na ndani yake nilichokisoma nikabaini ilikuwa ni haki kwa Tanzania Daima kumtimua , kwani makala yake ni kama mipasho ya taarabu tena na vijembe ya wana CCM huku akitupiana mipasho na mwana CCM mwenzake Hashim Sagaf aliyewahi kuwa mbunge wa Dodoma, ajabu zaidi makala ya Mullinda inaonyesha jinsi gani mwandishi huyo kachuja kiasi cha kujipendekeza kwa Kikwete...teh teh teh! naona jamaa kaenda kuliua gazeti la Dira bilashaka anafanya kazi ya ushushu kwa niaba ya mafisadi wa CCM.....NAWASILISHA
Mwanzoni nilidhani mwandishi huyo kaonewa ila leo nimelipata gazeti la Dira kutoka kwa rafiki yangu aisee nimekuta makala ya Mullinda ikiwa na kichwa cha habari cha MCHOKONOZI na ndani yake nilichokisoma nikabaini ilikuwa ni haki kwa Tanzania Daima kumtimua , kwani makala yake ni kama mipasho ya taarabu tena na vijembe ya wana CCM huku akitupiana mipasho na mwana CCM mwenzake Hashim Sagaf aliyewahi kuwa mbunge wa Dodoma, ajabu zaidi makala ya Mullinda inaonyesha jinsi gani mwandishi huyo kachuja kiasi cha kujipendekeza kwa Kikwete...teh teh teh! naona jamaa kaenda kuliua gazeti la Dira bilashaka anafanya kazi ya ushushu kwa niaba ya mafisadi wa CCM.....NAWASILISHA